Namba hazidanganyi, Mpina hastahili kuwa mbunge, Uelewa wake ni mdogo sana

zanku

Member
Jun 9, 2020
69
149
MPINA HAJUI HESABU, ACHA NIMREJESHE DARASANI

1. Katika Bajeti 44 trilion zinapigwaje 30 trillion? Afu na mishahara ya Trilioni 20 ikaendelea kulipwa? Huku mtaani miradi ya matrilioni ikaendelea kutekelezwa? Hata hili umeshindwa kuling'amua?

2. FIU kwa sehemu kubwa inachambua miamala ya sekta binafsi, hicho unachoona kwenye hiyo ripoti yao ni namna wafanyabiashara wamepata ahueni wanafanya manunuzi makubwa nje ya nchi kwa pesa nyingi wanakuja kuuza kwa faida kubwa, hiyo ndio faida ya Uchumi wa watu na sio vitu, awamu yenu mlifunga nchi biashara zikafa ndio maana hili linakuwa surprise kwako. Uchumi halisi unapokuwa lazima miamala mingi ifanyike nje na ndani ya nchi kwasababu biashara haina vikwazo wala kufungiwa. Mama karejesha imani ya wafanyabiashara nchini, wawekezaji wengi wamepata uhakika wa mitaji yao wameamua kuleta mapesa mengi kwa njia ya miamala maana dunia sasa ni cashless economy.

3. Hakuna mkopo uliovunja sheria, hakuna mkopo ambao haukupitishwa kwenye bajeti. Bajeti ambayo wewe uliiunga mkono kwa kinywa chako binafsi ukatamka 'Ndiooo". Kwa taarifa yako tu awamu hii kila kitu kimewekwa wazi wananchi wanaona kila jambo na wanapata muda wa kukosoa, wanajibiwa kwa hoja bila kutekana na kuuana. Awamu yenu Mmeliingiza Taifa hili kwenye mikopo umiza (Nyonyadamu) miliyokuwa mnachukua kimya kimya huku mkidanganya watu kuwa mnajenga kwa pesa za makusanyo ya ndani kumbe ni uongo mkubwa, tena mlikopa kwa masharti mabovu ya kihuni mkitoa tenda kwa single source kwa makampuni yaliyowapa rushwa na ushahidi upo hadharani CAG kausema, mlikopa kwenye mabenki ya kibiashara yenye riba za kutisha, leo hii unapata wapi uhalali wa kushuku mambo ambayo yako wazi kila mahali. Mama anatafuta hela kwenye taasisi zenye riba ya chini ya 1%, kila mkopo unawekwa hadharani, unakoelekea panajulika na kazi inaonekana. Hakuna tena blah blah.

4. SGR inaendelea hakuna kilichosimama. Natambua wewe na wenzio hao mnaokesha kupika majungu mlitarajia mradi huu ukwame ili sukuma gang mjigambe kwamba ninyi ndio mabingwa na miamba ya nchi hii, hilo mmekwama endeleeni kumeza panadol maana Mama hana shuguli ndogo kila kona anapeleka maendeleo. Mama alikuta lot 2 tena zikiwa asilimi za chini sana, kwa muda mfupi kapiga Asilimia zaidi ya 90 na kaanzisha nyingine 5. Hapa ndio panawafanya mchanganyikiwe kabisa.

5. Kuhusu uhujumu uchumi, as we speak ulitakiwa uwe gereza la butimba ukitumikia kifungo cha maisha kwa uharamia na ukatili mkubwa uliowafanyia wavuvi wa nchi hii, umewatia umaskini wa kutisha, ulichoma nyavu zao, ukawafunga, wengine wakatoroka nchi, uliwafanyia hivi kwasababu hawakukupa rushwa, hili liko wazi na ushahidi upo.


6. Nawapa taarifa tu na hao wenzio, nchi imerejea kwenye mstari sahihi, wananchi wanafuraha, hawatekwi, hawatishwi, hawabambikiwi kesi, wapinzani wamepewa kila wanachotaka lakini hawana ajenda, Uchumi wa watu umeimarika, Fedha zinaonekana mtaani, hakuna kilichosimama na miradi mipya ya kutosha.

Mwisho, number hazidanganyi, ni muda mwafaka urejee darasani, weke tunguri zako likizo weka ulozi wako pembeni ingia kimbwetani, ukitoka huko ndio uje tuzungumzie haya mambo lakini kwasasa huna unachofahamu, yamekuzidi kimo.

 
Hapo kwenye Namba 6, Nchi ipi iliyorejea kwenye mstari, hii hii ya kuwateua watu waliohusika na upotevu wa watu na kuandaa utekaji, kupiga watu risasi na unyanyasaji wa raia, sikubali hoja za Mpina maana anasumbuliwa na kukosa ulaji, lakini pia sikubaliani na hoja za MACCM maana wote ni wezi tu, kinachowatofautisha ni nafasi za ulaji
 
MPINA HAJUI HESABU, ACHA NIMREJESHE DARASANI

1. Katika Bajeti 44 trilion zinapigwaje 30 trillion? Afu na mishahara ya Trilioni 20 ikaendelea kulipwa? Huku mtaani miradi ya matrilioni ikaendelea kutekelezwa? Hata hili umeshindwa kuling'amua?

2. FIU kwa sehemu kubwa inachambua miamala ya sekta binafsi, hicho unachoona kwenye hiyo ripoti yao ni namna wafanyabiashara wamepata ahueni wanafanya manunuzi makubwa nje ya nchi kwa pesa nyingi wanakuja kuuza kwa faida kubwa, hiyo ndio faida ya Uchumi wa watu na sio vitu, awamu yenu mlifunga nchi biashara zikafa ndio maana hili linakuwa surprise kwako. Uchumi halisi unapokuwa lazima miamala mingi ifanyike nje na ndani ya nchi kwasababu biashara haina vikwazo wala kufungiwa. Mama karejesha imani ya wafanyabiashara nchini, wawekezaji wengi wamepata uhakika wa mitaji yao wameamua kuleta mapesa mengi kwa njia ya miamala maana dunia sasa ni cashless economy.

3. Hakuna mkopo uliovunja sheria, hakuna mkopo ambao haukupitishwa kwenye bajeti. Bajeti ambayo wewe uliiunga mkono kwa kinywa chako binafsi ukatamka 'Ndiooo". Kwa taarifa yako tu awamu hii kila kitu kimewekwa wazi wananchi wanaona kila jambo na wanapata muda wa kukosoa, wanajibiwa kwa hoja bila kutekana na kuuana. Awamu yenu Mmeliingiza Taifa hili kwenye mikopo umiza (Nyonyadamu) miliyokuwa mnachukua kimya kimya huku mkidanganya watu kuwa mnajenga kwa pesa za makusanyo ya ndani kumbe ni uongo mkubwa, tena mlikopa kwa masharti mabovu ya kihuni mkitoa tenda kwa single source kwa makampuni yaliyowapa rushwa na ushahidi upo hadharani CAG kausema, mlikopa kwenye mabenki ya kibiashara yenye riba za kutisha, leo hii unapata wapi uhalali wa kushuku mambo ambayo yako wazi kila mahali. Mama anatafuta hela kwenye taasisi zenye riba ya chini ya 1%, kila mkopo unawekwa hadharani, unakoelekea panajulika na kazi inaonekana. Hakuna tena blah blah.

4. SGR inaendelea hakuna kilichosimama. Natambua wewe na wenzio hao mnaokesha kupika majungu mlitarajia mradi huu ukwame ili sukuma gang mjigambe kwamba ninyi ndio mabingwa na miamba ya nchi hii, hilo mmekwama endeleeni kumeza panadol maana Mama hana shuguli ndogo kila kona anapeleka maendeleo. Mama alikuta lot 2 tena zikiwa asilimi za chini sana, kwa muda mfupi kapiga Asilimia zaidi ya 90 na kaanzisha nyingine 5. Hapa ndio panawafanya mchanganyikiwe kabisa.

5. Kuhusu uhujumu uchumi, as we speak ulitakiwa uwe gereza la butimba ukitumikia kifungo cha maisha kwa uharamia na ukatili mkubwa uliowafanyia wavuvi wa nchi hii, umewatia umaskini wa kutisha, ulichoma nyavu zao, ukawafunga, wengine wakatoroka nchi, uliwafanyia hivi kwasababu hawakukupa rushwa, hili liko wazi na ushahidi upo.


6. Nawapa taarifa tu na hao wenzio, nchi imerejea kwenye mstari sahihi, wananchi wanafuraha, hawatekwi, hawatishwi, hawabambikiwi kesi, wapinzani wamepewa kila wanachotaka lakini hawana ajenda, Uchumi wa watu umeimarika, Fedha zinaonekana mtaani, hakuna kilichosimama na miradi mipya ya kutosha.

Mwisho, number hazidanganyi, ni muda mwafaka urejee darasani, weke tunguri zako likizo weka ulozi wako pembeni ingia kimbwetani, ukitoka huko ndio uje tuzungumzie haya mambo lakini kwasasa huna unachofahamu, yamekuzidi kimo.

View attachment 2802461
Esther unampambania kweli mumeo
 
MPINA HAJUI HESABU, ACHA NIMREJESHE DARASANI

1. Katika Bajeti 44 trilion zinapigwaje 30 trillion? Afu na mishahara ya Trilioni 20 ikaendelea kulipwa? Huku mtaani miradi ya matrilioni ikaendelea kutekelezwa? Hata hili umeshindwa kuling'amua?

2. FIU kwa sehemu kubwa inachambua miamala ya sekta binafsi, hicho unachoona kwenye hiyo ripoti yao ni namna wafanyabiashara wamepata ahueni wanafanya manunuzi makubwa nje ya nchi kwa pesa nyingi wanakuja kuuza kwa faida kubwa, hiyo ndio faida ya Uchumi wa watu na sio vitu, awamu yenu mlifunga nchi biashara zikafa ndio maana hili linakuwa surprise kwako. Uchumi halisi unapokuwa lazima miamala mingi ifanyike nje na ndani ya nchi kwasababu biashara haina vikwazo wala kufungiwa. Mama karejesha imani ya wafanyabiashara nchini, wawekezaji wengi wamepata uhakika wa mitaji yao wameamua kuleta mapesa mengi kwa njia ya miamala maana dunia sasa ni cashless economy.

3. Hakuna mkopo uliovunja sheria, hakuna mkopo ambao haukupitishwa kwenye bajeti. Bajeti ambayo wewe uliiunga mkono kwa kinywa chako binafsi ukatamka 'Ndiooo". Kwa taarifa yako tu awamu hii kila kitu kimewekwa wazi wananchi wanaona kila jambo na wanapata muda wa kukosoa, wanajibiwa kwa hoja bila kutekana na kuuana. Awamu yenu Mmeliingiza Taifa hili kwenye mikopo umiza (Nyonyadamu) miliyokuwa mnachukua kimya kimya huku mkidanganya watu kuwa mnajenga kwa pesa za makusanyo ya ndani kumbe ni uongo mkubwa, tena mlikopa kwa masharti mabovu ya kihuni mkitoa tenda kwa single source kwa makampuni yaliyowapa rushwa na ushahidi upo hadharani CAG kausema, mlikopa kwenye mabenki ya kibiashara yenye riba za kutisha, leo hii unapata wapi uhalali wa kushuku mambo ambayo yako wazi kila mahali. Mama anatafuta hela kwenye taasisi zenye riba ya chini ya 1%, kila mkopo unawekwa hadharani, unakoelekea panajulika na kazi inaonekana. Hakuna tena blah blah.

4. SGR inaendelea hakuna kilichosimama. Natambua wewe na wenzio hao mnaokesha kupika majungu mlitarajia mradi huu ukwame ili sukuma gang mjigambe kwamba ninyi ndio mabingwa na miamba ya nchi hii, hilo mmekwama endeleeni kumeza panadol maana Mama hana shuguli ndogo kila kona anapeleka maendeleo. Mama alikuta lot 2 tena zikiwa asilimi za chini sana, kwa muda mfupi kapiga Asilimia zaidi ya 90 na kaanzisha nyingine 5. Hapa ndio panawafanya mchanganyikiwe kabisa.

5. Kuhusu uhujumu uchumi, as we speak ulitakiwa uwe gereza la butimba ukitumikia kifungo cha maisha kwa uharamia na ukatili mkubwa uliowafanyia wavuvi wa nchi hii, umewatia umaskini wa kutisha, ulichoma nyavu zao, ukawafunga, wengine wakatoroka nchi, uliwafanyia hivi kwasababu hawakukupa rushwa, hili liko wazi na ushahidi upo.


6. Nawapa taarifa tu na hao wenzio, nchi imerejea kwenye mstari sahihi, wananchi wanafuraha, hawatekwi, hawatishwi, hawabambikiwi kesi, wapinzani wamepewa kila wanachotaka lakini hawana ajenda, Uchumi wa watu umeimarika, Fedha zinaonekana mtaani, hakuna kilichosimama na miradi mipya ya kutosha.

Mwisho, number hazidanganyi, ni muda mwafaka urejee darasani, weke tunguri zako likizo weka ulozi wako pembeni ingia kimbwetani, ukitoka huko ndio uje tuzungumzie haya mambo lakini kwasasa huna unachofahamu, yamekuzidi kimo.

View attachment 2802461
Huyo anakili kuliko wewe na kibaka mwigulu..madako yenu
 
MPINA HAJUI HESABU, ACHA NIMREJESHE DARASANI

1. Katika Bajeti 44 trilion zinapigwaje 30 trillion? Afu na mishahara ya Trilioni 20 ikaendelea kulipwa? Huku mtaani miradi ya matrilioni ikaendelea kutekelezwa? Hata hili umeshindwa kuling'amua?

2. FIU kwa sehemu kubwa inachambua miamala ya sekta binafsi, hicho unachoona kwenye hiyo ripoti yao ni namna wafanyabiashara wamepata ahueni wanafanya manunuzi makubwa nje ya nchi kwa pesa nyingi wanakuja kuuza kwa faida kubwa, hiyo ndio faida ya Uchumi wa watu na sio vitu, awamu yenu mlifunga nchi biashara zikafa ndio maana hili linakuwa surprise kwako. Uchumi halisi unapokuwa lazima miamala mingi ifanyike nje na ndani ya nchi kwasababu biashara haina vikwazo wala kufungiwa. Mama karejesha imani ya wafanyabiashara nchini, wawekezaji wengi wamepata uhakika wa mitaji yao wameamua kuleta mapesa mengi kwa njia ya miamala maana dunia sasa ni cashless economy.

3. Hakuna mkopo uliovunja sheria, hakuna mkopo ambao haukupitishwa kwenye bajeti. Bajeti ambayo wewe uliiunga mkono kwa kinywa chako binafsi ukatamka 'Ndiooo". Kwa taarifa yako tu awamu hii kila kitu kimewekwa wazi wananchi wanaona kila jambo na wanapata muda wa kukosoa, wanajibiwa kwa hoja bila kutekana na kuuana. Awamu yenu Mmeliingiza Taifa hili kwenye mikopo umiza (Nyonyadamu) miliyokuwa mnachukua kimya kimya huku mkidanganya watu kuwa mnajenga kwa pesa za makusanyo ya ndani kumbe ni uongo mkubwa, tena mlikopa kwa masharti mabovu ya kihuni mkitoa tenda kwa single source kwa makampuni yaliyowapa rushwa na ushahidi upo hadharani CAG kausema, mlikopa kwenye mabenki ya kibiashara yenye riba za kutisha, leo hii unapata wapi uhalali wa kushuku mambo ambayo yako wazi kila mahali. Mama anatafuta hela kwenye taasisi zenye riba ya chini ya 1%, kila mkopo unawekwa hadharani, unakoelekea panajulika na kazi inaonekana. Hakuna tena blah blah.

4. SGR inaendelea hakuna kilichosimama. Natambua wewe na wenzio hao mnaokesha kupika majungu mlitarajia mradi huu ukwame ili sukuma gang mjigambe kwamba ninyi ndio mabingwa na miamba ya nchi hii, hilo mmekwama endeleeni kumeza panadol maana Mama hana shuguli ndogo kila kona anapeleka maendeleo. Mama alikuta lot 2 tena zikiwa asilimi za chini sana, kwa muda mfupi kapiga Asilimia zaidi ya 90 na kaanzisha nyingine 5. Hapa ndio panawafanya mchanganyikiwe kabisa.

5. Kuhusu uhujumu uchumi, as we speak ulitakiwa uwe gereza la butimba ukitumikia kifungo cha maisha kwa uharamia na ukatili mkubwa uliowafanyia wavuvi wa nchi hii, umewatia umaskini wa kutisha, ulichoma nyavu zao, ukawafunga, wengine wakatoroka nchi, uliwafanyia hivi kwasababu hawakukupa rushwa, hili liko wazi na ushahidi upo.


6. Nawapa taarifa tu na hao wenzio, nchi imerejea kwenye mstari sahihi, wananchi wanafuraha, hawatekwi, hawatishwi, hawabambikiwi kesi, wapinzani wamepewa kila wanachotaka lakini hawana ajenda, Uchumi wa watu umeimarika, Fedha zinaonekana mtaani, hakuna kilichosimama na miradi mipya ya kutosha.

Mwisho, number hazidanganyi, ni muda mwafaka urejee darasani, weke tunguri zako likizo weka ulozi wako pembeni ingia kimbwetani, ukitoka huko ndio uje tuzungumzie haya mambo lakini kwasasa huna unachofahamu, yamekuzidi kimo.

View attachment 2802461
Wewe ndo umepigwa dobo. Haziikuibiwa mwaka mmoja.
 
MPINA HAJUI HESABU, ACHA NIMREJESHE DARASANI

1. Katika Bajeti 44 trilion zinapigwaje 30 trillion? Afu na mishahara ya Trilioni 20 ikaendelea kulipwa? Huku mtaani miradi ya matrilioni ikaendelea kutekelezwa? Hata hili umeshindwa kuling'amua?

2. FIU kwa sehemu kubwa inachambua miamala ya sekta binafsi, hicho unachoona kwenye hiyo ripoti yao ni namna wafanyabiashara wamepata ahueni wanafanya manunuzi makubwa nje ya nchi kwa pesa nyingi wanakuja kuuza kwa faida kubwa, hiyo ndio faida ya Uchumi wa watu na sio vitu, awamu yenu mlifunga nchi biashara zikafa ndio maana hili linakuwa surprise kwako. Uchumi halisi unapokuwa lazima miamala mingi ifanyike nje na ndani ya nchi kwasababu biashara haina vikwazo wala kufungiwa. Mama karejesha imani ya wafanyabiashara nchini, wawekezaji wengi wamepata uhakika wa mitaji yao wameamua kuleta mapesa mengi kwa njia ya miamala maana dunia sasa ni cashless economy.

3. Hakuna mkopo uliovunja sheria, hakuna mkopo ambao haukupitishwa kwenye bajeti. Bajeti ambayo wewe uliiunga mkono kwa kinywa chako binafsi ukatamka 'Ndiooo". Kwa taarifa yako tu awamu hii kila kitu kimewekwa wazi wananchi wanaona kila jambo na wanapata muda wa kukosoa, wanajibiwa kwa hoja bila kutekana na kuuana. Awamu yenu Mmeliingiza Taifa hili kwenye mikopo umiza (Nyonyadamu) miliyokuwa mnachukua kimya kimya huku mkidanganya watu kuwa mnajenga kwa pesa za makusanyo ya ndani kumbe ni uongo mkubwa, tena mlikopa kwa masharti mabovu ya kihuni mkitoa tenda kwa single source kwa makampuni yaliyowapa rushwa na ushahidi upo hadharani CAG kausema, mlikopa kwenye mabenki ya kibiashara yenye riba za kutisha, leo hii unapata wapi uhalali wa kushuku mambo ambayo yako wazi kila mahali. Mama anatafuta hela kwenye taasisi zenye riba ya chini ya 1%, kila mkopo unawekwa hadharani, unakoelekea panajulika na kazi inaonekana. Hakuna tena blah blah.

4. SGR inaendelea hakuna kilichosimama. Natambua wewe na wenzio hao mnaokesha kupika majungu mlitarajia mradi huu ukwame ili sukuma gang mjigambe kwamba ninyi ndio mabingwa na miamba ya nchi hii, hilo mmekwama endeleeni kumeza panadol maana Mama hana shuguli ndogo kila kona anapeleka maendeleo. Mama alikuta lot 2 tena zikiwa asilimi za chini sana, kwa muda mfupi kapiga Asilimia zaidi ya 90 na kaanzisha nyingine 5. Hapa ndio panawafanya mchanganyikiwe kabisa.

5. Kuhusu uhujumu uchumi, as we speak ulitakiwa uwe gereza la butimba ukitumikia kifungo cha maisha kwa uharamia na ukatili mkubwa uliowafanyia wavuvi wa nchi hii, umewatia umaskini wa kutisha, ulichoma nyavu zao, ukawafunga, wengine wakatoroka nchi, uliwafanyia hivi kwasababu hawakukupa rushwa, hili liko wazi na ushahidi upo.


6. Nawapa taarifa tu na hao wenzio, nchi imerejea kwenye mstari sahihi, wananchi wanafuraha, hawatekwi, hawatishwi, hawabambikiwi kesi, wapinzani wamepewa kila wanachotaka lakini hawana ajenda, Uchumi wa watu umeimarika, Fedha zinaonekana mtaani, hakuna kilichosimama na miradi mipya ya kutosha.

Mwisho, number hazidanganyi, ni muda mwafaka urejee darasani, weke tunguri zako likizo weka ulozi wako pembeni ingia kimbwetani, ukitoka huko ndio uje tuzungumzie haya mambo lakini kwasasa huna unachofahamu, yamekuzidi kimo.

View attachment 2802461
We ndo huna ulijualo
 
MPINA HAJUI HESABU, ACHA NIMREJESHE DARASANI

1. Katika Bajeti 44 trilion zinapigwaje 30 trillion? Afu na mishahara ya Trilioni 20 ikaendelea kulipwa? Huku mtaani miradi ya matrilioni ikaendelea kutekelezwa? Hata hili umeshindwa kuling'amua?

2. FIU kwa sehemu kubwa inachambua miamala ya sekta binafsi, hicho unachoona kwenye hiyo ripoti yao ni namna wafanyabiashara wamepata ahueni wanafanya manunuzi makubwa nje ya nchi kwa pesa nyingi wanakuja kuuza kwa faida kubwa, hiyo ndio faida ya Uchumi wa watu na sio vitu, awamu yenu mlifunga nchi biashara zikafa ndio maana hili linakuwa surprise kwako. Uchumi halisi unapokuwa lazima miamala mingi ifanyike nje na ndani ya nchi kwasababu biashara haina vikwazo wala kufungiwa. Mama karejesha imani ya wafanyabiashara nchini, wawekezaji wengi wamepata uhakika wa mitaji yao wameamua kuleta mapesa mengi kwa njia ya miamala maana dunia sasa ni cashless economy.

3. Hakuna mkopo uliovunja sheria, hakuna mkopo ambao haukupitishwa kwenye bajeti. Bajeti ambayo wewe uliiunga mkono kwa kinywa chako binafsi ukatamka 'Ndiooo". Kwa taarifa yako tu awamu hii kila kitu kimewekwa wazi wananchi wanaona kila jambo na wanapata muda wa kukosoa, wanajibiwa kwa hoja bila kutekana na kuuana. Awamu yenu Mmeliingiza Taifa hili kwenye mikopo umiza (Nyonyadamu) miliyokuwa mnachukua kimya kimya huku mkidanganya watu kuwa mnajenga kwa pesa za makusanyo ya ndani kumbe ni uongo mkubwa, tena mlikopa kwa masharti mabovu ya kihuni mkitoa tenda kwa single source kwa makampuni yaliyowapa rushwa na ushahidi upo hadharani CAG kausema, mlikopa kwenye mabenki ya kibiashara yenye riba za kutisha, leo hii unapata wapi uhalali wa kushuku mambo ambayo yako wazi kila mahali. Mama anatafuta hela kwenye taasisi zenye riba ya chini ya 1%, kila mkopo unawekwa hadharani, unakoelekea panajulika na kazi inaonekana. Hakuna tena blah blah.

4. SGR inaendelea hakuna kilichosimama. Natambua wewe na wenzio hao mnaokesha kupika majungu mlitarajia mradi huu ukwame ili sukuma gang mjigambe kwamba ninyi ndio mabingwa na miamba ya nchi hii, hilo mmekwama endeleeni kumeza panadol maana Mama hana shuguli ndogo kila kona anapeleka maendeleo. Mama alikuta lot 2 tena zikiwa asilimi za chini sana, kwa muda mfupi kapiga Asilimia zaidi ya 90 na kaanzisha nyingine 5. Hapa ndio panawafanya mchanganyikiwe kabisa.

5. Kuhusu uhujumu uchumi, as we speak ulitakiwa uwe gereza la butimba ukitumikia kifungo cha maisha kwa uharamia na ukatili mkubwa uliowafanyia wavuvi wa nchi hii, umewatia umaskini wa kutisha, ulichoma nyavu zao, ukawafunga, wengine wakatoroka nchi, uliwafanyia hivi kwasababu hawakukupa rushwa, hili liko wazi na ushahidi upo.


6. Nawapa taarifa tu na hao wenzio, nchi imerejea kwenye mstari sahihi, wananchi wanafuraha, hawatekwi, hawatishwi, hawabambikiwi kesi, wapinzani wamepewa kila wanachotaka lakini hawana ajenda, Uchumi wa watu umeimarika, Fedha zinaonekana mtaani, hakuna kilichosimama na miradi mipya ya kutosha.

Mwisho, number hazidanganyi, ni muda mwafaka urejee darasani, weke tunguri zako likizo weka ulozi wako pembeni ingia kimbwetani, ukitoka huko ndio uje tuzungumzie haya mambo lakini kwasasa huna unachofahamu, yamekuzidi kimo.

View attachment 2802461
Mpina Hana shida, tatizo liko ndani ya watawala na watendaji
 
MPINA HAJUI HESABU, ACHA NIMREJESHE DARASANI

1. Katika Bajeti 44 trilion zinapigwaje 30 trillion? Afu na mishahara ya Trilioni 20 ikaendelea kulipwa? Huku mtaani miradi ya matrilioni ikaendelea kutekelezwa? Hata hili umeshindwa kuling'amua?

2. FIU kwa sehemu kubwa inachambua miamala ya sekta binafsi, hicho unachoona kwenye hiyo ripoti yao ni namna wafanyabiashara wamepata ahueni wanafanya manunuzi makubwa nje ya nchi kwa pesa nyingi wanakuja kuuza kwa faida kubwa, hiyo ndio faida ya Uchumi wa watu na sio vitu, awamu yenu mlifunga nchi biashara zikafa ndio maana hili linakuwa surprise kwako. Uchumi halisi unapokuwa lazima miamala mingi ifanyike nje na ndani ya nchi kwasababu biashara haina vikwazo wala kufungiwa. Mama karejesha imani ya wafanyabiashara nchini, wawekezaji wengi wamepata uhakika wa mitaji yao wameamua kuleta mapesa mengi kwa njia ya miamala maana dunia sasa ni cashless economy.

3. Hakuna mkopo uliovunja sheria, hakuna mkopo ambao haukupitishwa kwenye bajeti. Bajeti ambayo wewe uliiunga mkono kwa kinywa chako binafsi ukatamka 'Ndiooo". Kwa taarifa yako tu awamu hii kila kitu kimewekwa wazi wananchi wanaona kila jambo na wanapata muda wa kukosoa, wanajibiwa kwa hoja bila kutekana na kuuana. Awamu yenu Mmeliingiza Taifa hili kwenye mikopo umiza (Nyonyadamu) miliyokuwa mnachukua kimya kimya huku mkidanganya watu kuwa mnajenga kwa pesa za makusanyo ya ndani kumbe ni uongo mkubwa, tena mlikopa kwa masharti mabovu ya kihuni mkitoa tenda kwa single source kwa makampuni yaliyowapa rushwa na ushahidi upo hadharani CAG kausema, mlikopa kwenye mabenki ya kibiashara yenye riba za kutisha, leo hii unapata wapi uhalali wa kushuku mambo ambayo yako wazi kila mahali. Mama anatafuta hela kwenye taasisi zenye riba ya chini ya 1%, kila mkopo unawekwa hadharani, unakoelekea panajulika na kazi inaonekana. Hakuna tena blah blah.

4. SGR inaendelea hakuna kilichosimama. Natambua wewe na wenzio hao mnaokesha kupika majungu mlitarajia mradi huu ukwame ili sukuma gang mjigambe kwamba ninyi ndio mabingwa na miamba ya nchi hii, hilo mmekwama endeleeni kumeza panadol maana Mama hana shuguli ndogo kila kona anapeleka maendeleo. Mama alikuta lot 2 tena zikiwa asilimi za chini sana, kwa muda mfupi kapiga Asilimia zaidi ya 90 na kaanzisha nyingine 5. Hapa ndio panawafanya mchanganyikiwe kabisa.

5. Kuhusu uhujumu uchumi, as we speak ulitakiwa uwe gereza la butimba ukitumikia kifungo cha maisha kwa uharamia na ukatili mkubwa uliowafanyia wavuvi wa nchi hii, umewatia umaskini wa kutisha, ulichoma nyavu zao, ukawafunga, wengine wakatoroka nchi, uliwafanyia hivi kwasababu hawakukupa rushwa, hili liko wazi na ushahidi upo.


6. Nawapa taarifa tu na hao wenzio, nchi imerejea kwenye mstari sahihi, wananchi wanafuraha, hawatekwi, hawatishwi, hawabambikiwi kesi, wapinzani wamepewa kila wanachotaka lakini hawana ajenda, Uchumi wa watu umeimarika, Fedha zinaonekana mtaani, hakuna kilichosimama na miradi mipya ya kutosha.

Mwisho, number hazidanganyi, ni muda mwafaka urejee darasani, weke tunguri zako likizo weka ulozi wako pembeni ingia kimbwetani, ukitoka huko ndio uje tuzungumzie haya mambo lakini kwasasa huna unachofahamu, yamekuzidi kimo.

View attachment 2802461
@Mpina
 
Back
Top Bottom