JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Ni mkutano wa wanachama wa Dar wanaolelewa na muavuli wa Namaingo Business Agency LTD kujadili uwekezaji mkubwa wa mradi wa ufugaji nyuki pamoja huko kibiti mkoa wa pwani pia na mikakati ya mazao mengine ya kilimo msimu huu wa kilimo katika eneo lao lilipo kijiji cha ruharuke na kitongoji cha mbawa..
Pamoja na mambo mengine wanachama wamejitendea haki kutumia fursa hiyo adhimu na pekee hivi sasa
Lengo ni kuunga mkono Serikali ya awamu ya tano ya Dr John Pombe Magufuli inayotaka watu kufanya kazi na sio kazi tu ziwe zenye tija kama asemavyo Mkurugenzi wa Kampuni ya Namaingo Business Agency LTD, Biubwa Ibrahim
Pamoja na mambo mengine wanachama wamejitendea haki kutumia fursa hiyo adhimu na pekee hivi sasa
Lengo ni kuunga mkono Serikali ya awamu ya tano ya Dr John Pombe Magufuli inayotaka watu kufanya kazi na sio kazi tu ziwe zenye tija kama asemavyo Mkurugenzi wa Kampuni ya Namaingo Business Agency LTD, Biubwa Ibrahim