Usijali kaka si unajua maujuzi ya studioni tena......................
Sasa si umpe laivu tu kwamba asikufatefate, wewe unanimaindi mimi.No! mpendwa, mie mgeni humu jf, we subiri tu huyo anayepitia profile yako kila siku atakuja!
Hahaha..nilijua upo around hivyo utanisaidia kumwambia ndo tumemaliza honeymoon usiku wa kuamkia leo! Uporoto atakuwa shahidi kwenye hili.Sasa si umpe laivu tu kwamba asikufatefate, wewe unanimaindi mimi.
Wanawake kwa kuzunguka zunguka bana!
Master J na nyimbo za hivo? labda man water!Mtafute Master J kwa msaada zaidi...
Ucjali mkuu we toa hiyo singo tuweke ringtone za simu! niaje lakini?Hata kama ni mwanaume maji poa tu as long as mi nimeingia studioni
Ni poa sana mkuuMambo poa kaka, vp wewe?