mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,180
- 3,440
Naye n fisadi ..tena Wa halisi(kuiba wake za watu)tunamuonesha tu kuwa hana haki ya kuoneshea vdole wengneKhaa!! Nyie wote na Gwajima kweli ni mambumbumbu mbona Hoja ya Dr Slaa ilikuwa simple tu LOWASSA HAFAI KUWA RAIS WA SABABU NI FISADI full stop. Mbona hakuna anayeijibu hiyo???????? :glasses-nerdy: