GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Kulikoni madam?Nimewahi kusikia ranchi za Taifa,
Hii nchi ilivyo ngumu sijui, labda uwe mwarabu
Kulikoni madam?Nimewahi kusikia ranchi za Taifa,
Hii nchi ilivyo ngumu sijui, labda uwe mwarabu
Na wewe umeona eeMfugaji. .nguruwe 300 mpaka uende Indua kweli. Hao wanaliwa ndani ya wilaya moja teba hata wiki hawatoboi.
India na china uende ukifikisha nguruwe 5000 walau.
Mkuu,Nafikiria Kibaha na Morogoro.
Mkuu Tangantika umeshaanza ufugaji wa mbuzi? Mwenzio nimethubutu tayari. Nimeanza na mbuzi kumi wa kienyeji, ila nitaongeza mdogo mdogo. Nafugia nyumbani kwangu MorogoroUnapanda mbegu au shina ?mbegu au shina. Kuna maswali pale hujayajibu.
Hawakodishi ranch nzima nzima bali kinachokodishwa ni ranching blocks tena mara nyingi zile za mkataba wa muda mfupi yaani wa mwaka mmoja mpaka mitanoMkuu,
Nimeona tangazo la NARCO wanakodisha baadhi ya ranchi zao. Tembelea page yao uwahi nafasi mapema. Hii ni fursa nzuri kwa wafugaji wakubwa.
Nakuomba nitafuteMkuu,
Nimeona tangazo la NARCO wanakodisha baadhi ya ranchi zao. Tembelea page yao uwahi nafasi mapema. Hii ni fursa nzuri kwa wafugaji wakubwa.
Mkuu Tangantika umeshaanza ufugaji wa mbuzi? Mwenzio nimethubutu tayari. Nimeanza na mbuzi kumi wa kienyeji, ila nitaongeza mdogo mdogo. Nafugia nyumbani kwangu Morogoro
Ebanaeee! Hapo mahali baridi lake sio poa! Hivi wanyama hawasikiagi baridi?KITULO MAKETE UMEISAHAU
Ngoja basi aanze kuzalisha ndio ajisajili! Makusanyo hadi kwenye mitaji?Karibu sana,na kuhusu soko usiwe na wasiwasi kabisa Yani uhitaji wa nyama ni mkubwa sana ,vile vile usije ukasahau kujisajili kwenye bodi ya nyama Tanzania
Mh; umenichanga Mkuu. Mbuzi anayefikia uzito mkubwa kwa muda mfupi hafai kivipi? Nikajua ni kinyume chake. Ufafanuzi kama hutojali tafadhali.Isiolo hafai, maana ndo mbuzi mwenye kufikia uzito mkubwa kwa muda mfupi.
Ndo nilichomaanisha mkuu,kwamba akishaanza uzalishaji akumbuke kujisajili na bodi ya nyamaNgoja basi aanze kuzalisha ndio ajisajili! Makusanyo hadi kwenye mitaji?
Ubarikiwe sana.Uzi huu umenifaa sana, asante sana.
Elimu mkubwaMimi ni mfugaji
ushauri wangu======MAJI+ PANDA MALISHO HAKIKISHA UNAUHAKIKA WA KILA MFUGO UTAKAE MFUGA ana CHAKULA CHA MWAKA MOJA PAMOJA NA MAJI ===
ushauri wa PILI===invest kwenye mbegu sio kufuga goat miaka miwili then ana kG 15,,hakikisha una mgegu sahihi
Ushauri wa mwisho+++==== security
Ukifaya hivyo utatoboa, masoko hayajawahi kuwa problem hata kidogo
safi sana, I'm inspired with your storyNi kweli, ila siyo kwamba ndiyo ninaanza kihivyo. Hapa nataka tu kuingia kwa gia kubwa. Mpaka sasa ninafuga mbuzi na ng’ombe ila kwa scale ndogo. Ilikuwa kama mradi wa majaribio, sasa nahisi nipo tayari kuliamsha dude.
Ndiyo maana nataka kusikiliza ushauri wenu pia.