Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
Nakerwa sana na barabara ya Mikocheni sana sana kwa kweri aiseee nakwerwa saaana aisee......kuanzia pale baraka plaza mpaka klauzi kuna wale wapuuzi puuzi fulani wamechimba barabara kwa pembeni.....kuna bonge la shimo kwa pembeni pembeni.....barabara nyembambaaa kinoma noma.....