we mshamba nini, mwanamke angemtafuta mwanamke mwenzie hadharani hapa tz?wewe ni mwanaume au mwanamke?
unavoongea tu unaonekana sharobaro.Sasa wewe muoaji mbona hujisemi ukoje tabia yako...?Sharobaro au sharo...?mnywaji lakini au mlevi...?mcheshi japo sura ngumu...?unagari..?una nyumba..?unamkopo ambao haujaumaliza..?una elimu gani..?kimo chako vip..? (haijalishi saana)rangi yako je? mweupe au mweusi?ukiwa na sifa zinazoridhisha nitakupa dada angu yuko huku humu JFNachotaka kukwambia ni kwamba...hata wanawake wanauhuru wa kuchagua sio wewe uwawekee vigezo na wakati vya kwako hujaweka... BE SERIOUS meeen..!
Acha kuwa msaliti, we si ma jery? Ukiungana nae ba jeri atabaki na nani? Acha tamaa na masharobaro.ni pm niko ful viwango
kakaJ anataka kuoa...!!!!! so ni he
Naomba niwe best man wako cku ya harusi' ole wako cku hiyo useme machale yamenicheza siowi! Zitapigwa mpaka kieleweke!kumbe na ww mgomvi eeh?