am a girl
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 748
- 504
Mamboz,
Jamani kama mnakumbuka nilikua natafuta mchumba na hali yangu niliyonayo, wengi walijitokeza wakidhani natania labda, walihisi mimi ni mzuri sana ila natania.
Kusema ukweli nipo kama nilivyosema na nimerudi tena kuomba msaada kwa anaejua dawa ya makovu tafadhali, sio ya ajali yani yanatokea tu hata nikijikuna kovu linabaki, pia nikiumwa na mdudu lazima kovu libaki,nikijikwaruza kidogo bas kovu hilo.
Wanaume pia hawaniangalii hata mara mbili, niko mpweke, sina hata mwenza.
Nachukia sana ngozi yangu na sijui shida ni nini, naomba tafadhali kwa anaejua dawa ambayo itanifaa.
Wanawake wenzangu nisaidieni, kina baba, kina kaka naombeni mnitajie dawa itakayoondoa makovu haya jamani.
Bio oil nimejaribu haifanyi kazi, aloevera hua napaka sioni matokei, limao pia hakuna kitu.
Najisikia vibaya sana, mda mwingine hua nikijiangalia nalia tu, why me?
Msaada wenu ndugu zangu tafadhali.
Jamani kama mnakumbuka nilikua natafuta mchumba na hali yangu niliyonayo, wengi walijitokeza wakidhani natania labda, walihisi mimi ni mzuri sana ila natania.
Kusema ukweli nipo kama nilivyosema na nimerudi tena kuomba msaada kwa anaejua dawa ya makovu tafadhali, sio ya ajali yani yanatokea tu hata nikijikuna kovu linabaki, pia nikiumwa na mdudu lazima kovu libaki,nikijikwaruza kidogo bas kovu hilo.
Wanaume pia hawaniangalii hata mara mbili, niko mpweke, sina hata mwenza.
Nachukia sana ngozi yangu na sijui shida ni nini, naomba tafadhali kwa anaejua dawa ambayo itanifaa.
Wanawake wenzangu nisaidieni, kina baba, kina kaka naombeni mnitajie dawa itakayoondoa makovu haya jamani.
Bio oil nimejaribu haifanyi kazi, aloevera hua napaka sioni matokei, limao pia hakuna kitu.
Najisikia vibaya sana, mda mwingine hua nikijiangalia nalia tu, why me?
Msaada wenu ndugu zangu tafadhali.