B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
habari wandungu...nihivi nina mdogo wangu ninae msomesha,kaitimu form v mwaka jana,kama matokeo mlivyo ona watoto wamefail sana mwaka huu.mdogo wangu alimaliza mwaka juzi ila alipata four ya 30 kwa vile nilitaka aendelee na for v...nilimwambia arudie tena form iv yanii sasa hivi ndo mbaya zaidi kapata iv ya 33 ana D mbili tu nyingine zote F.msaada wangu nnaotaka kwenu wa kuni huu
[1]JE KUNA COLLAGE YOYOTE AMBAYO ANA WEZA KUPATA
[2]KITU GANI ANAWEZA KUSOMEA KUTOKANA NA ALAMA ALIZO PATA[NIWAKIKE]
[1]JE KUNA COLLAGE YOYOTE AMBAYO ANA WEZA KUPATA
[2]KITU GANI ANAWEZA KUSOMEA KUTOKANA NA ALAMA ALIZO PATA[NIWAKIKE]