Unadhalilisha hiyo Taalumasifa zake
umri wowote
awe na hela za kutosha na maisha mazuri.gari ,nyumba.familia bora nk
ndoa tutafunga ndani ya wiki moja
awe HIV NEGATIVE NAOGOPA UKIMWI KULIKO CHOCHOTE
dini yoyote
sifa zangu
age.26
christian
engineer telecom company
tall ,white
partially virgin sex less than 10 times
Hapo sema inexperienced, ukishatobolewa umetobolewa tu!
kwi kwi kwi kwi kumbe kutumika kuna % eeeh
aiseeee! sasa tunapimaje?
Dah......hivi ningepaliwa na chakula Kaunga nani angenisaidia namie niko mwenyewe??
Umenichekesha sana na hayo maneno yako! lol
Mbona mie ni mpya kabisa kabisa nna makaratasi yale ya kupasua tusuuu kama ya camera? (paw akisoma hapa leo nalazwa nje)
sifa zake
umri wowote
awe na hela za kutosha na maisha mazuri.gari ,nyumba.familia bora nk
ndoa tutafunga ndani ya wiki moja
awe HIV NEGATIVE NAOGOPA UKIMWI KULIKO CHOCHOTE
dini yoyote
sifa zangu
age.26
christian
engineer telecom company
tall ,white
partially virgin sex less than 10 times[/QUOTE]
Kumbe kunakuwaga na partially virginity!
Engineer mzima unakua na uwezo mdogo wa kufikiri namna hiyo? Utampata huyo zoba wako! Na nna wasiwasi hata hizo "less than 10 times" unaziongelea ni za maprofesa wako a.k.a digrii zile za DC Gumbo
Hapo sema inexperienced, ukishatobolewa umetobolewa tu!
Hapo sema inexperienced, ukishatobolewa umetobolewa tu!
Hahahahaaa, nilitaka kupita tu hapa lakini nikasoma bahati mbaya nikacheka kwa nguvu. Afadhali niko room alone maana kama kungekuwa na mtu humu angenishangaa! Kha, haya mama kila la kheri...........ngoma imetembea less than 100km asee!sifa zake
umri wowote
awe na hela za kutosha na maisha mazuri.gari ,nyumba.familia bora nk
ndoa tutafunga ndani ya wiki moja
awe HIV NEGATIVE NAOGOPA UKIMWI KULIKO CHOCHOTE
dini yoyote
sifa zangu
age.26
christian
engineer telecom company
tall ,white
partially virgin sex less than 10 times
Wasn't my intention upaliwe, ila kukuchekesha ndicho nilichopania.
Ila seriously, umedo more than 3 times halafu unasema partialy virgin.
Looks like ulikuwa unapenda kuyapasua kama mimi; this is the 2nd post nimekutana nayo unayataja. I guess now utakuwa unanyang'ana na kid wako. LOL