Mashaurijr
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 639
- 1,020
Wakuu habari za mihangaiko,
Kiufupi nimechoka sana. Maisha yangu siyaelewi nimepambana vyakutosha, nimejitesa sana ili nipate mafanikio badala yake nimepata shida nyingine vidonda vya tumbo au ulcers.
Nime hustle sana nikawa bize mpaka nikaachika na mpenzi wangu niliyempenda sana lakini wapi, kila nikipiga hatua tatizo linatokea narudi nyuma.
Nimepaniki sana, nimekuwa nakunywa pombe hatari ila bado naona kama haziwezi kunisahaulisha. Natumia kijiti ila bado naona kama hakifanyi kazi vizuri kunisahaulisha malengo niridhike tu na maisha ya kawaida lakini wapi, mimoshi tu inaniletea kikohozi bure.
Sikutamani kabisa nife sijamiliki gari kali mabiashara makubwa mjengo wa maana, ila sasa naona kukata tamaa kukinifunika, bangi zikinikolea, madawa ya kulevya na kifo kikija mapema, na moto mkali wa jehunum ukinichoma kwa madhambi yangu.
Kiufupi nimechoka sana. Maisha yangu siyaelewi nimepambana vyakutosha, nimejitesa sana ili nipate mafanikio badala yake nimepata shida nyingine vidonda vya tumbo au ulcers.
Nime hustle sana nikawa bize mpaka nikaachika na mpenzi wangu niliyempenda sana lakini wapi, kila nikipiga hatua tatizo linatokea narudi nyuma.
Nimepaniki sana, nimekuwa nakunywa pombe hatari ila bado naona kama haziwezi kunisahaulisha. Natumia kijiti ila bado naona kama hakifanyi kazi vizuri kunisahaulisha malengo niridhike tu na maisha ya kawaida lakini wapi, mimoshi tu inaniletea kikohozi bure.
Sikutamani kabisa nife sijamiliki gari kali mabiashara makubwa mjengo wa maana, ila sasa naona kukata tamaa kukinifunika, bangi zikinikolea, madawa ya kulevya na kifo kikija mapema, na moto mkali wa jehunum ukinichoma kwa madhambi yangu.