NAISAIDIA YANGA: Majina/ramani ya vituo vya yatima Khartoum haya hapa katembeleeni kuiwezesha ile ndagu yenu

njaakalihatari

JF-Expert Member
Feb 12, 2019
4,084
8,664
Ni ujinga kufanya hiyo ndagu kwa mechi 30 za TFF ambapo mwisho wa msimu unapata millions 500 wakati leo ukiifanya hapo Khartoum unaingia makundi na kujipatia billion 1.2.

Ule mtindo wa kutembelea vituo yatima msiogope wandugu, ipigeni leo mkitua hapo mchana. Wahi supermarket kanunueni mazagazaga, Mwamnyeto akae mbele kabisa kabeba magunia ya sukari na mchele baada ya hapo mkapumzike hotelini. Maneno ya kunuizia mnayofanyaga kwa hao yatima mnayajua wenyewe.

Ramani hii hapa, vituo vikubwa ni viwili MYGOMA Orphanage na SOS Children Village Khartoum.


orphans.JPG
 
Ni ujinga kufanya hiyo ndagu kwa mechi 30 za TFF ambapo mwisho wa msimu unapata millions 500 wakati leo ukiifanya hapo Khartoum unaingia makundi na kujipatia billion 1.2

Ile style ya kutembelea vituo yatima msiogope wandugu ipigeni leo mkitua hapo mchana, wahi supermarket kanunueni mazagazaga ,mwamnyeto akae mbele kabisa kabeba magunia ya sukari na mchele baada ya hapo mkapumzike hotelini, maneno ya kunuizia mnayofanyaga kwa hao yatima mnayajua wenyewe

Ramani hii hapa, vituo vikubwa ni viwili MYGOMA ORPHANAGE NA SOS CHILDREN VILLAGE KHARTOUM


View attachment 2387733
mnajitoa ufahamu kirahisi ivyo??
 
Ni ujinga kufanya hiyo ndagu kwa mechi 30 za TFF ambapo mwisho wa msimu unapata millions 500 wakati leo ukiifanya hapo Khartoum unaingia makundi na kujipatia billion 1.2.

Ule mtindo wa kutembelea vituo yatima msiogope wandugu, ipigeni leo mkitua hapo mchana. Wahi supermarket kanunueni mazagazaga, Mwamnyeto akae mbele kabisa kabeba magunia ya sukari na mchele baada ya hapo mkapumzike hotelini. Maneno ya kunuizia mnayofanyaga kwa hao yatima mnayajua wenyewe.

Ramani hii hapa, vituo vikubwa ni viwili MYGOMA Orphanage na SOS Children Village Khartoum.


View attachment 2387733
Hapo lazima waende Al-Remaiyla cemetery. Ndio sehemu pekee inaweza kuwapunguzia aibu.
 
Back
Top Bottom