T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
Ni yule aliewahi kusema kuwa wamarekani wanataka yeye awe rais wa tanzania.katika uchaguzi unaoendelea hivi sasa amekabwa kooni na kijana mdogo maskini wa kitanzania deo daffi. Nyalandu anamwaga shilingi kunusuru asiangukie pua baada ya mawaziri wenzake kugaragazwa akiwemo makongoro mahanga huko ilala.