johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,626
- 142,966
Naibu Waziri Ridhiwani Kikwete amemshukuru hayati Mkapa kwa kumlipia Ada UDOM kwa masomo ya Masters ambapo ametunukiwa Shahada hiyo jana na mh Mizengo Pinda
Ridhiwani Kikwete amesema Mkapa ndiye aliyemshawishi kusoma Shahada hiyo ya Diplomasia na kana Kwamba haitoshi alimlipia na Ada kabisa Hapo Ridhiwani Kikwete alikuwa ni Mbunge wa Chalinze tayari
Source: Mwananchi
Ridhiwani Kikwete amesema Mkapa ndiye aliyemshawishi kusoma Shahada hiyo ya Diplomasia na kana Kwamba haitoshi alimlipia na Ada kabisa Hapo Ridhiwani Kikwete alikuwa ni Mbunge wa Chalinze tayari
Source: Mwananchi