Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii, Mwanaidi Khamis amesema kuwa kama kuna wazazi wanakabiliwa na changamoto ya kushindwa kuhudumia watoto pacha watoe taarifa.
"Natoa wito kwa wazazi wanaokabiliwa na changamoto ya kushindwa kuhudumia watoto pacha kutoa taarifa kwa wakurugenzi wa halmashauri kupitia maafisa ustawi wa jamii ili waweze kupata msaada badala ya kutelekeza watoto na familia zao.” - Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii, Mwanaidi Khamis
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
"Natoa wito kwa wazazi wanaokabiliwa na changamoto ya kushindwa kuhudumia watoto pacha kutoa taarifa kwa wakurugenzi wa halmashauri kupitia maafisa ustawi wa jamii ili waweze kupata msaada badala ya kutelekeza watoto na familia zao.” - Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii, Mwanaidi Khamis
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️