Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Aisee mie mshamba per se, orijino!!The place is so green, Tukuyu kupo safi sana kama hali ya hewa ile ingekuwa Dodoma au Dar ningeishi sana mikoa hiyo, I love Tukuyu msiharibu mazingira nyie washamba wetu wanyakyusa
Karibia nitatoka kwenye ushamba na kuingia uplantation!!!