Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Kuna tetesi kuwa kuna sintofahamu kati ya spika Anne Makinda na naibu wake Job Ndugai kuhusiana na naibu spika kuruhusu wabunge kujadili sakata la katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini David Jailo Kitundu kurejea kwenye nafasi yake baada ya kupewa likizo kupisha uchunguzi. Source: Clouds fm radio