USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,897
- 22,674
NAIBU KATIBU MKUU WA JUMAZA ZANZIBAR AFARIKI DUNIA KUZIKWA KISUTU DAR.
Na Saimu Gwao.
Jumuiya ya Maimamu Zanzibar Jumaza kwa huzuni inatoa Taarifa ya Kifo cha Naibu Katibu wa Jumaza Skh. Khamis Yussuf Khamis kilichotokea Dar. Habari ziwafikie.
1 Mufti Mkuu wa ZNZ
2 Kadhi Mkuu wa ZNZ
3 Katibu Mtendaji Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana
4 Mwenyekiti wa Utahiza
5 Maimamu wote Zanzibar
6 Wana Darsa Msikiti Nambar
7 Taasisi zote za Hija ZNZ
Na kila anaehusika na Msiba huo Mazishi yatakua saa kumi leo
USSR
=====
Naibu Katibu wa Jumaza Sheikh Khamis Yussuf Khamis, alikuwa kalazwa Muhimbili.
Maziko yatafanyika leo tarehe 9 Mei 2023 makaburi ya Kisutu saa kumi jioni.
Inalilah wainailah rajiun
Na Saimu Gwao.
Jumuiya ya Maimamu Zanzibar Jumaza kwa huzuni inatoa Taarifa ya Kifo cha Naibu Katibu wa Jumaza Skh. Khamis Yussuf Khamis kilichotokea Dar. Habari ziwafikie.
1 Mufti Mkuu wa ZNZ
2 Kadhi Mkuu wa ZNZ
3 Katibu Mtendaji Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana
4 Mwenyekiti wa Utahiza
5 Maimamu wote Zanzibar
6 Wana Darsa Msikiti Nambar
7 Taasisi zote za Hija ZNZ
Na kila anaehusika na Msiba huo Mazishi yatakua saa kumi leo
USSR
=====
Naibu Katibu wa Jumaza Sheikh Khamis Yussuf Khamis, alikuwa kalazwa Muhimbili.
Maziko yatafanyika leo tarehe 9 Mei 2023 makaburi ya Kisutu saa kumi jioni.
Inalilah wainailah rajiun