Joninho
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 559
- 611
unawataj live mkuuHilo ni jipu tena la kutumbuliwa haraka.Nawashauri abiria mpewe risiti za efd.Dar express na kilimanjaro express za kwao chakula eti 6000 mpaka 7000 halafu hakina hata ladha
unawataj live mkuuHilo ni jipu tena la kutumbuliwa haraka.Nawashauri abiria mpewe risiti za efd.Dar express na kilimanjaro express za kwao chakula eti 6000 mpaka 7000 halafu hakina hata ladha
hiyo Rockhill kwa cku wana piga mil.sio chini ya 3Kama unaingia hotelini kununua biskuti ina maana hukupanga safari yako. Kama ungekuwa umepanga safari yako ungenunua biskuti toka kule ulikotoka.
Hata hivyo naona TRA hawataki kukusanya kodi kwenye hizi hotel na mfano ni hotel za Korogwe mauzo ni makubwa sana lakini wanatumia coupon yaani risiti za mkono badala ya EFD Receipt; TRA fanyeni kazi yenu kuna VAT ya kutosha kwenye hizo TRANSIT HOTEL
Zamani tulisafiri na chupa ya chai na mihogo iliyopikwa nyumbani aidha tulifungashiwa viporo.Jifunze zamani tuliishi VP.Nikuhusu hatua ya mabasi yaendayo mikoani kuwaibia na kuwatesa abiria.
Madereva wa mabasi yaendayo mikoani BUNDA, ISAMILO, ZUBERI na mengineyo nengi kuwapeleka abiria sehemu ya chakula ambayo ni Miradi ya wakubwa na kuuziwa chakula na vinywaji bei kubwa kuliko kawaida.
Ktk eneo maarufu hapa mkoani singida ambapo mabasi mengi huwapeleka abiria kupata huduma ya chakula mambo yako hivi
- Wali maharage, 3,000,
- wali nyama ng‘ombe 5,000
- chips mayai 4,000,
- Azam milk litre moja 4,500
- soda za pepsi na cocacola take away 1500
- biscuit ndogo za sh 200 zinauzwa 500
Pamoja na bidhaa nyingi ambazo sikuzitaja kuuzwa bei iubwa kulko kawaida. Mbaya zaidi hawatoi receipt/risiti hata kwa dawa.
pia kwa wale wanaotumia bara bara ya ARUSHA-DSM kuna Hotel huwa mabasi yanaingia kama CARTAGE,MOMBO,LIVERPOOL ,na huko kote bei ni Ghali sana kwa waendao mikoa ya LINDI,MTWARA kuna sehemu inaitwa NANGURUKURU huko napo hali ni mbaya vitu Ghali balaa.
Swali langu kwa serikali, kwamba haya hamyajui au mmejitia upofu ili raia wasokua na hatia waendelee kuteseka kwa maslahi ya watu binafsi.
Hivi TRA haya mnayajua, na kama mnayajua mmechukua hatugani ili kunisuru maisha ya mafukara na masikini wanaosafiri kwa shida mbali mbali.
Mnadhan mnajengenga dhana gan kwa sisi wanyonge tulowapa mamlaka yakusimamia na kuingoza taifa letu?
Utafiti mdogo niloufanya zaidi ya robo tatu ya abiria wote niliosafiri nao wameishia kunua biscuit ya miatano na azam juisi ya mia saba masikini ya mungu ukiwatazama nyuso zao kila mmoja wao anaonesha huzun mkubwa.
Niiombe serikali yangu kulitazama suala hili kwa jicho la tatu maana ni unyanyasaji na unyonyaji na kuzidi kutengeneza chuki isiyo sha kati ya wenye nacho na wasakatonge!.
Kupanga ni kuchagua.Wasimame palepale bt cost ipungue. Nusu sahani ya wali 5000/=? Not fair kwa wachumia juani