GAMAH
Member
- Jul 30, 2012
- 38
- 2
Hembu tusaidiane katika hili kwa sasa nina umri wa miaka 32 namalizia masomo yangu mwaka huu nahitaji kwenda kugombea ubunge je nifanye nin kwanza sina pesa za kutumia kwenye mchakato pil sheria ya lazima upitie chama fulani ni kikwazo kwa watanzania maana kwenye vyama wana watu 'wao' kwa maslahi ya kichama na si ya wananchi!
Nahitaji kugombea naamini ntawawakilisha wananchi wangu vizuri na pia jamani ajira ngumu lakini huko mjengoni wameongezewa nackia sasa wanavuta 10mil. kwa mwezi!!
Nahitaji kugombea naamini ntawawakilisha wananchi wangu vizuri na pia jamani ajira ngumu lakini huko mjengoni wameongezewa nackia sasa wanavuta 10mil. kwa mwezi!!