Twaps
Member
- May 26, 2011
- 50
- 28
Nina tatizo la ngozi ktk ngozi yangu ni la muda mrefu,nilikua natumia dawa kutoka kwa madaktari tofauti tofauti lakin sasa nimechoka hvo nahitaji dr bingwa wa magonjwa ya ngozi atakaemaliza tatizo langu.Nipo Dar es salaam hvo yeyote anyefahamu dr bingwa wa ngozi anipe mwongozo nikamwone ili roho yangu itulie.Mbarikiwe