Nahitaji shamba

Ngotty

Member
Jun 27, 2012
21
0
Ninahitaji shamba heka 15-30.
Kati ya Kiwangwa na Msata.
Lisiwe mbali na Barabara kuu.
Kama unalo Ni PM.
 
Mkuu vipi maeneo ya Chalinze njia ya kwenda gwata, kijiji cha Chahuwa...??
Kuna barabara nzuri inayoconnect hicho kijiji na barabara kuu ya Moro...
Kuna mradi wa maji unapita, mabomba ya maji tayari yamewekwa, very soon maji yatapatikana...
Ardhi ni virgin, very preferable kwa agribusiness...
 
Mkuu vipi maeneo ya Chalinze njia ya kwenda gwata, kijiji cha Chahuwa...??
Kuna barabara nzuri inayoconnect hicho kijiji na barabara kuu ya Moro...
Kuna mradi wa maji unapita, mabomba ya maji tayari yamewekwa, very soon maji yatapatikana...
Ardhi ni virgin, very preferable kwa agribusiness...

Huku Hapana Ndg Yangu. Napenda maeneo ya Msata Bagamoyo.
 
kuna jamaa yangu ana shamba maeneo ya kiwangwa ila ni eka 8 shamba hilo linangalia barabara ya lami kuelekea msata... Ngotty
 
Last edited by a moderator:
Mkuu vipi maeneo ya Chalinze njia ya kwenda gwata, kijiji cha Chahuwa...??
Kuna barabara nzuri inayoconnect hicho kijiji na barabara kuu ya Moro...
Kuna mradi wa maji unapita, mabomba ya maji tayari yamewekwa, very soon maji yatapatikana...
Ardhi ni virgin, very preferable kwa agribusiness...

Bei gani huko?
Mto Ruvu unapita umbali gani?
 
Mm nahitaji mwalusembe mkuranga, kama mtu ana info please PM me for more details.
Mkuu kama utaridhika shamba lipo kimbiji kilomita tano kutoka kimbiji centre ni pm kama utaridhika ni ekari 34 nnazo nyingne 35 zipo puna mbele kidogo ya kimbiji kma km 40 kutoka feri karibu mkuu..!
 
kuna jamaa yangu ana shamba maeneo ya kiwangwa ila ni eka 8 shamba hilo linangalia barabara ya lami kuelekea msata... Ngotty

Hili la barabarani nitalipenda, Pls Ningependa kujua bei.
 
Last edited by a moderator:
kuna mashamba eneo la mwavi karibu na Kiwangwa",kama uko tayari tuwasiliane mkuu",kwa kutumia number hii 0654197490 mr rashid
 
Mkuu kama utaridhika shamba lipo kimbiji kilomita tano kutoka kimbiji centre ni pm kama utaridhika ni ekari 34 nnazo nyingne 35 zipo puna mbele kidogo ya kimbiji kma km 40 kutoka feri karibu mkuu..!
Bei kwa hekari moja ni kiasi gani mkuu??
 
Ninalo shamba ekari 50 kijiji cha Zegero wilaya ya Kisarawe ni kilomita 35 toka Morogoro Road.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom