Nahitaji mwanamke mwenye malengo

Habari wa j4 kwamala ya kwanza najitokeza kuwatangazia natafuta mwanamke ambae nitabadilishana nae mawazo na mapenzi tutakapo itaji ila angalizo siitaji kuoa ila nitadumu nae kwenye uhusiano labda hapo badae kama nitabadilisha mawazo yangu twaweza oana sifa mwenye kujiheshimu,msili na si king'ang'anizi na mwenye upendo wakunibadisha ninapo kosea kimaisha nimeajiliwa selikalini pesa ndogo ndogo sihaba hainipigi chenga kwayoyote alieguswa nahuu ujumbe waweza nijibu inbox mda wowote kwani sijaoa nitakujibu na kukutumia picha yangu umri wangu nina miaka 29
Wapi Miss Natafuta??fursa adhim hii
 
Habari wa j4 kwamala ya kwanza najitokeza kuwatangazia natafuta mwanamke ambae nitabadilishana nae mawazo na mapenzi tutakapo itaji ila angalizo siitaji kuoa ila nitadumu nae kwenye uhusiano labda hapo badae kama nitabadilisha mawazo yangu twaweza oana sifa mwenye kujiheshimu,msili na si king'ang'anizi na mwenye upendo wakunibadisha ninapo kosea kimaisha nimeajiliwa selikalini pesa ndogo ndogo sihaba hainipigi chenga kwayoyote alieguswa nahuu ujumbe waweza nijibu inbox mda wowote kwani sijaoa nitakujibu na kukutumia picha yangu umri wangu nina miaka 29
kijana wa ''Mulugo'' utamwona tu anavojikanyaga.....
 
hakuna mwanamke aliyezaliwa kuwa na malengo duniani wrote waliumbwa wasaidizi. yaani akikukuta unazibua vyoo malengo anaanzia hapo kinyume na hivyo useme unataka kulelewa na wanawake waliolaaniwa.
umenichekesha sana kumbe kuna walio laaniwa umewajuaje hao mkuu wakati hukumu bado
 
Back
Top Bottom