duh pole kijana. ila mwana sasa mie naogopa kitu kimoja. kwa kuwa wewe umekuwa unabeba wa wenzako mentality yako ilishakuwa kuwa wanawake wote kwisha bebwa na kweli mwana wengi wao wapo na vijeba. anyways for noww kijana ushauri ni kwamba dont hurry into this matter...make sure kwanza kabisa wewe unataka mke mwenye sifa zipi both in physical appearance and character wise. baada ya hapo sasa ndio unaanza msako mwana bila pressure kijana 27 bado u got time .
we jamaa inamaana chuo ulichosoma wasichana woote walikuwa na watu wao..mtaani vp? Subiri ambae ataachana na mpnz wake umchukue...halafu hv kwani maisha ni lazima kuoa?
MIMI NAONA HV NILIVYO NNA AMAN SANA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.