real happygirl
Member
- May 23, 2014
- 16
- 1
Npo dar
whatsapp 0653783552
whatsapp 0653783552
Kichwa cha habari chahusika,
Marafiki hao naomba wawe na sifa zifuatazo....
- Wasio na tamaa
- Wenye uvumilivu na wanachokifanya.
- Wenye kujituma
- Wabunifu
- Uwe tayari kufanya kitu kwa niaba ya aliyekushirikisha issue hiyo
- Mwisho watoke kwenye mikoa ifuatayo
Karibuni wote na hii ni kwa jinsia zote.
- Arusha
- Iringa
- Mbeya
- Morogoro
- Mwanza
- Dar es Salaam.
- Dodoma
Unachotakiwa ni kuni-PM jina,email na number zako za simu then tuangalie jinsi ya kuunga hii network kwa kuanzia tu tutajiunga kwa emails na kisha Whatsup.
okey kwa watu watanga pia nawakaribisha.Mkuu mie nipo Tanga na ningependa zaidi nijiunge na hii network
mkuu hapa ni urafiki wa kupeana tulichonacho kama ideas,what-to-do, generally nguvu zetu na akili yetu ndo mtaji wetu, hakuna atakayeambiwa toa hela kuuza wala kununua. hata hivyo group ndo litakaloamua what to do for the group, this will be some kind of pioneer group!Ngoja mtapeliwe then mrudi kutulalamikia humu ndani, maana wa bongo mnapenda sana mitelemko na kwa hali hii mtatapeliwa mpaka m~kome.
mhh!!! Makubwa. Ngoja nikae pembeni mimi mmakonde......:embarrassed:
okey kwa watu watanga pia nawakaribisha.
keep onMhh! ? my head is ringing....ding dong ......ding dong.....
chongchung relax broo will contact you soon as we currently receiving other friend's contact details!Hivi hilo Group linaundwa lini cause others cant wait long na issue za entrepreneurship time is mega resource cause many got an idea and utilize it on the spot now they are otherwise so please Founder make it punctual.
Ngoja mtapeliwe then mrudi kutulalamikia humu ndani, maana wa bongo mnapenda sana mitelemko na kwa hali hii mtatapeliwa mpaka m~kome.