Nahitaji madumu ya maji ya lita 12 iliniweze kumwagilia mipapai kwa urahisi

Kitabu

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
302
26
Wakuu nimeanzisha kilimo cha mipapai.

Nilitegemea nitumie mvua za masika ili kupunguza gharama za umwagiliaji, lakini kwa bahati mbaya mvua za mwaka huu si nyingi.

Nimepata wazo la kuwa na madumu ya maji yale ya kuuzia maji, lita 12(mfano uhai na masafi) kwamba nikiyapata hayo najaza maji na kutoboa tundu dogo halafu maji yatoke kidogo kidogo.

Sasa changamoto ni kuyapata hayo machupa, nauliza kama kuna anayeweza kunisaidia kuyapata tafadhali tuwasiliane kwa namba 0717 166 455.

Asante
 
Hhahahaaaaaa.......nipo KISARAWE Mkoa wa Pwani,japo nimeweka namba ya simu hapo
Mzee inakuwa rahisi sana na unaepusha usumbufu kwa kuweka mahala ulipo. Nenda kwa wale jamaa wanaokusanya chupa wanaweza kukupa msaada mkubwa sana.
 
Wakuu nimeanzisha kilimo cha mipapai,nilitegemea nitumie mvua za masika ili kupunguza gharama za umwagiliaji,lakini kwa bahati mbaya mvua za mwaka huu si nyingi. Nimepata wazo la kuwa na madumu ya maji yale ya kuuzia maji,lita 12(mfano uhai na masafi) kwamba nikiyapata hayo najaza maji na kutoboa tundu dogo halafu maji yatoke kidogo kidogo.Sasa changamoto ni kuyapata hayo machupa,nauliza kama kuna anayeweza kunisaidia kuyapata tafadhali tuwasiliane kwa namba 0717 166 455. Asante
kama yamekuwa sio rahisi kupatikana kwa nini usitumie yale ya lita 20?
 
Kwanini ufanye kilimo bora kwa njia za zamani??? Hizo gharama na nguvu kazi yote ya kujaza maji hayo machupa si uendee Zanzibar ununue drip kule bei rahisi roller la drip ambalo halina tundu lile gumu linauzwa laki moja na arobaini tu na ni mita 500, unatoboa mwenyewe kulingana na mpapai wako ulipo, unajenga mnara unaweka tank au unaweza tumia pump unapump maji moja kwa moja shambani, itakupunguzia kazi na muda pia
IMG-20190406-WA0019.jpeg


Few years from now you may wish you should have started today...
 
ikishindikana itabidi nitumie hayo,nilikiwa najaribu kupunguza gharama,mana nahitaji kama 650 hivi
Chupa 650 za lita 20 ni sawa na ujazo wa lita 13000. Kujaza chupa zote hizo na kuzisambaza shambani kazi pevu kweli. Vipi uwezekano wa drip irrigation kwa kutumia pipe za plastiki?
 
Kwanini ufanye kilimo bora kwa njia za zamani??? Hizo gharama na nguvu kazi yote ya kujaza maji hayo machupa si uendee Zanzibar ununue drip kule bei rahisi roller la drip ambalo halina tundu lile gumu linauzwa laki moja na arobaini tu na ni mita 500, unatoboa mwenyewe kulingana na mpapai wako ulipo, unajenga mnara unaweka tank au unaweza tumia pump unapump maji moja kwa moja shambani, itakupunguzia kazi na muda pia View attachment 1067370

Few years from now you may wish you should have started today...
daa....wazo zuri sana hili mkuu,asante sana....pale bandarini hawatozi ushuru mwingine,kwa upande wa bara????
 
daa....wazo zuri sana hili mkuu,asante sana....pale bandarini hawatozi ushuru mwingine,kwa upande wa bara????
Wanasumbua kwenye dawa na mbegu lakini hii ni pembejeo sidhan kama kuna ushuru, unanunua kule unatuma kwenye ofisi zao unakuja pokelea dar pale ofisi ya nnje

Few years from now you may wish you should have started today...
 
Wakuu nimeanzisha kilimo cha mipapai,nilitegemea nitumie mvua za masika ili kupunguza gharama za umwagiliaji,lakini kwa bahati mbaya mvua za mwaka huu si nyingi. Nimepata wazo la kuwa na madumu ya maji yale ya kuuzia maji,lita 12(mfano uhai na masafi) kwamba nikiyapata hayo najaza maji na kutoboa tundu dogo halafu maji yatoke kidogo kidogo.Sasa changamoto ni kuyapata hayo machupa,nauliza kama kuna anayeweza kunisaidia kuyapata tafadhali tuwasiliane kwa namba 0717 166 455. Asante

Monduli naweza kukuandalia chupa 100 bure, nijulishe unakuja lini mjasiriamali mtaabikaji
 
Kwanini ufanye kilimo bora kwa njia za zamani??? Hizo gharama na nguvu kazi yote ya kujaza maji hayo machupa si uendee Zanzibar ununue drip kule bei rahisi roller la drip ambalo halina tundu lile gumu linauzwa laki moja na arobaini tu na ni mita 500, unatoboa mwenyewe kulingana na mpapai wako ulipo, unajenga mnara unaweka tank au unaweza tumia pump unapump maji moja kwa moja shambani, itakupunguzia kazi na muda pia View attachment 1067370
Few years from now you may wish you should have started today...
Pipe za drip zinadumu misimu mingapj kwa wastani? Pili kupump maji moja kwa moja kwenye pipe, pressure itakuwa Juu sana? (unless you install a pressure regulator)
 
Pipe za drip zinadumu misimu mingapj kwa wastani? Pili kupump maji moja kwa moja kwenye pipe, pressure itakuwa Juu sana? (unless you install a pressure regulator)
Kudumu n ww na management yako na kwa papai mpaka unaliondoe drip itakua nzima sababu hakuna movement nyingi,pump yeah lazima upump chini ya bar10

Few years from now you may wish you should have started today...
 
Back
Top Bottom