Mwana Ilala
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 1,287
- 483
Hallo.
Nahitaji kutengeneza Bango Sio la Biashara, hapana. TANGAZO/NOTICE. Lenye Maneno kama 20.
Material yatakayo tumika ni kitambaa tu.
Naomba Mwenye kufanya mambo ya Graphic designing anipe Gharama yake.
Nahitaji kutengeneza Bango Sio la Biashara, hapana. TANGAZO/NOTICE. Lenye Maneno kama 20.
Material yatakayo tumika ni kitambaa tu.
Naomba Mwenye kufanya mambo ya Graphic designing anipe Gharama yake.