Nahitaji kupata internet unlimited, kulipia kwa mwezi

tuna coverage kubwa hapa dar es salaam,kisarawe,mbeya na arusha na inawezekana kufunga na kupata internet unlimited na ndo habari ya mjini sasa hivi,
kama upo willing wasiliana nami kupitia
0713254553
Kapscom africa limited
Sinza mnafika?
Bei zenu ni ngapi?

Weka hapa kwa faida ya wote
 
Jamani wana JF Kati ya watu wanaohangaika na hii inshu ya vifurushi Mimi miongoni nshapigwa na wale wahuni wa boom University na wengine. Kama kuna njia ya kupata kifurush ulmited mwez au wiki au Bei nafuu naomba connection plz! Yaani nimefika hatua mtu nikimuona mtu yupo you tube najiuliza uyu anajiunga bundle gani?
 
Jamani wana JF Kati ya watu wanaohangaika na hii inshu ya vifurushi Mimi miongoni nshapigwa na wale wahuni wa boom University na wengine. Kama kuna njia ya kupata kifurush ulmited mwez au wiki au Bei nafuu naomba connection plz! Yaani nimefika hatua mtu nikimuona mtu yupo you tube najiuliza uyu anajiunga bundle gani?
Weka bundle la 10000 kwa wiki mkuu
 
Jamani wana JF Kati ya watu wanaohangaika na hii inshu ya vifurushi Mimi miongoni nshapigwa na wale wahuni wa boom University na wengine. Kama kuna njia ya kupata kifurush ulmited mwez au wiki au Bei nafuu naomba connection plz! Yaani nimefika hatua mtu nikimuona mtu yupo you tube najiuliza uyu anajiunga bundle gani?
Ofa ofa!!!!Naunganisha GB 72 kwa mwaka mzima kwa mtandao wa tigo kila mwez utapata GB 6 Ambazo unatumia siku 14 kila mwez kwa mwaka mzima
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 2 kuungwa
Wanaohitaji njoo Pm
Huduma zote malipo Ni baada ya kaz nahitaji watu walio seriously TU pm usije pm kunijaribu Kama maelezo hayajitoshelez niulizie hapa hapa
Karibuniikikupendeza pm
 
Ofa ofa!!!!Naunganisha GB 72 kwa mwaka mzima kwa mtandao wa tigo kila mwez utapata GB 6 Ambazo unatumia siku 14 kila mwez kwa mwaka mzima
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 2 kuungwa
Wanaohitaji njoo Pm
Huduma zote malipo Ni baada ya kaz nahitaji watu walio seriously TU pm usije pm kunijaribu Kama maelezo hayajitoshelez niulizie hapa hapa
Karibuniikikupendeza pm
Bei gani kujiunga ?
 
Back
Top Bottom