federicofernandez
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 578
- 392
Bajet 1.5m
Duh, hiyo bei yako kaka!Bajet 1.5m
Kama hutojali njoo KIBAHA (location nzuri, umeme maji na barabara za kueleweka)- 0712801265Bajet 1.5m
Kina ukubwa gani?Kama hutojali njoo KIBAHA (location nzuri, umeme maji na barabara za kueleweka)- 0712801265
labdA mkoA wA pwanI kwA dar ni kdogoBajet 1.5m
20 kwa 20Kina ukubwa gani?
kipo 30 kwa 50, mil13 (maongezi yapo) -Kibaha Town. Kama hutojali unaweza kuni check 0712801265Nahitaji kiwanja au nyumba lkn vyenye hati, kiwanja nina 10 million, nyumba Maelewano
Hicho cha kibaha kimepimwa yaani kina hati?kipo 30 kwa 50, mil13 (maongezi yapo) -Kibaha Town. Kama hutojali unaweza kuni check 0712801265
nipm fasta vpo kongowe hukuBajet 1.5m
We ebu kuwa na akili, utauzaje kiwanja bila hati! kweli kuna watu wanafikiri kwakutumia nini siju...Hicho cha kibaha kimepimwa yaani kina hati?
Kama viwanja visingeuzwa bila hati watu wengi sana wasingemiliki viwanja.We ebu kuwa na akili, utauzaje kiwanja bila hati! kweli kuna watu wanafikiri kwakutumia nini siju...
Vianz ndio mkoa ganNjoo vianz takupa 20 kwa 30