napita mtaa huu kwema..
Kwani mumeo MziziMkavu hakukandagi au unajishaua hapa?
Mwite akukande.
Muhusika hajapatikana, sema nimesitisha.
Naogopa mie...mtanisulubu.
Kama kuna thread niliwahi kucheka peke angu, siikumbuki aisee!! Ila hii, nimeipendaje!? Thnx a lot Madame B.
Mamdenyi, you're warmly welcome, B keshapata wake, sitaki kupoteza muda kwako!!! Check me.
Kama kuna thread niliwahi kucheka peke angu, siikumbuki aisee!! Ila hii, nimeipendaje!? Thnx a lot Madame B.
Mamdenyi, you're warmly welcome, B keshapata wake, sitaki kupoteza muda kwako!!! Check me.
@Kawambwa The Prof
nitakuja ila nitasindikizwa na mwanasiasa wangu
anza mazoezi ya boxing kwanza
kwani lolote laweza tokea hapo.
Hello wadau, nahitaji kijana wa kunifanyia Massage nyumbani kwangu, umri kuanzia miaka 21 hadi 24.
Malipo kwa siku ni Tsh 20,000/=, na utakuja siku ya Jumatatu, Jumatano na Ijumaa. Mara 3 katika wiki
Vifaa vyote ninavyo.
Muda kuanzia saa 3asbh hadi 8mchana.
SIFA:
Awe msafi,
Awe na mwonekano unaovutia.
Awe na kucha ndefu kiasi na safi.
Mengineyo, atafahamu akifika.
Kwa alie serious na tayari ani-PM kuanzia muda huu
Asanteni,
Madame B.