father-xmas
JF-Expert Member
- Mar 23, 2010
- 835
- 643
Madabe B vipi mhusika keshapatikana?Mbona sikuoni sasa, umekaa upande gani?
Vigezo vyote ninavyo sema nilichelewa kuiona hii.
Last edited by a moderator:
Madabe B vipi mhusika keshapatikana?Mbona sikuoni sasa, umekaa upande gani?
Na mimi nataka hiyo makitu naona mwili unahitaji kukandwa kandwa sasa.
Bibie.@Madame B itabidi tufunguwe ofisi ya masaji wewe ukandwe na wanaume mimi iwakande wanawake unasemaje bibie? na tuandike jina hili MziziMkavu Masaji mbona tutawapata wengi....Hello wadau, nahitaji kijana wa kunifanyia Massage nyumbani kwangu, umri kuanzia miaka 21 hadi 24.
Malipo kwa siku ni Tsh 20,000/=, na utakuja siku ya Jumatatu, Jumatano na Ijumaa. Mara 3 katika wiki
Vifaa vyote ninavyo.
Muda kuanzia saa 3asbh hadi 8mchana.
SIFA:
Awe msafi,
Awe na mwonekano unaovutia.
Awe na kucha ndefu kiasi na safi.
Mengineyo, atafahamu akifika.
Kwa alie serious na tayari ani-PM kuanzia muda huu
Asanteni,
Madame B.
Anawatania watu huyu.@Madame B ana pepo mimi ndie nitakaye mtibu kwa maombi usiwe na wasiwasi bibie.@Mamndenyi;Nauliza tu kama umepata?
Bibie.@Madame B itabidi tufunguwe ofisi ya masaji wewe ukandwe na wanaume mimi iwakande wanawake unasemaje bibie? na tuandike jina hili MziziMkavu Masaji mbona tutawapata wengi....
Muhusika hajapatikana, sema nimesitisha.
Naogopa mie...mtanisulubu.
Wewe unahitaji huduma gani?