kwa uelewa wa hapa na pale ni kuwa mashine hizi hutumika na mawakala wa huduma za malipo ambapo wateja watakuja kulipia huduma kama za Dstv, Kulusha vocha , kufanya malipo ya kodi za serikali kama za magari , pikipiki n.k. kuhusu faida zake hapa zinahusu miamala unayofanya kuna malipo yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.