Mr. Masasi
Member
- May 12, 2011
- 53
- 4
Mwenye hyo mashine ya kuangushia magogo na kuchana mbao porini nahitaji bei ipo laki 9, awe yuko tayari kunipa mafunzo ya namna ya kuitumia yaani kukata magogo na mbao. Nawasilisha wa jf
Mkuu, Unapanga bei mwenyewe? Je ikiwa chini ya laki 9 hutaki? Angalia usianze kutuharibia misitu. Sheria ni kali siku hizi. Good luck.Mwenye hyo mashine ya kuangushia magogo na kuchana mbao porini nahitaji bei ipo laki 9, awe yuko tayari kunipa mafunzo ya namna ya kuitumia yaani kukata magogo na mbao. Nawasilisha wa jf
Usisahau kuja na asali duguAhsanteni sna kwa msada wenu ila niko Tabora nyumbani, mana ya ku pm sijui labda unifahamishe na niambie bei wewe wazanzibar mi ntakuja dsm
Mkuu, Unapanga bei mwenyewe? Je ikiwa chini ya laki 9 hutaki? Angalia usianze kutuharibia misitu. Sheria ni kali siku hizi. Good luck.
Ninayo yangu husqavarna 272 nimeitumia mwezi mmoja tu naiuza 899,000/= kama utakuwa interested ni pm ama email yangu highquality169@gmail.comMwenye hyo mashine ya kuangushia magogo na kuchana mbao porini nahitaji bei ipo laki 9, awe yuko tayari kunipa mafunzo ya namna ya kuitumia yaani kukata magogo na mbao. Nawasilisha wa jf
Nenda hospitali ya Palestine Sinza karibu yake kuna msikiti sasa pale nyuma ya msikiti kuna wapemba wanauza vitu vilivyotumika niliona hizo mashine zipo zinatumia petroli wanauza laki tatu,ni misumeno ya minyororo,ila sijui kama unahitaji mikubwa au vipi,niliambiwa hiyo misumeno ni ya kukatia miti
Mwenye hyo mashine ya kuangushia magogo na kuchana mbao porini nahitaji bei ipo laki 9, awe yuko tayari kunipa mafunzo ya namna ya kuitumia yaani kukata magogo na mbao. Nawasilisha wa jf
Mdau naomba unisaidie,je hiyo aina ya mashine ni nzuri,nashukuru kwa maelekezo yako next week ntakwenda hukoFanya utaratibu wa kuja dar uende mtaa wa morogoro, karibu na samora (mjini) kuna maduka mengi sana ya vifaa vya kilimo, misitu na pembejeo. Machine inayokufaa ni husgvarner Xp 272 bei ya mpya sh 1,350,000 taslimu. Achana na used zitakusumbua. Yangu ingekuwa haina kazi ningekuuzia, ila kaka mkulima hauzi jembe.