Rubii na Stanley endeleeni na mambo yenu yanachangamsha huu uzi
Good 2 hear dat my precious swtlv...Niko relaxed switiharti
Samahani wadau wangu hii ni elfu tisini (90000)Tz 900,000?
Umesomeka mdau. Nilifikiri toleo jipya ukipika wali unatoka na mboga kabisaSamahani wadau wangu hii ni elfu tisini (90000)
Tembea uoneHuna hata haya! et rice cooker elfu thelathini mpya???
tujaribu kuheshimu biashara za watu
Tena shamba kwenyewe koromijeNdo nayotumia sasa huamini ama. Tatizo mmetoka shamba huko mkija mjini mnashikishwa tuu.
Msamehe mkuuWe taaira iyo apo kilo.moja elfu 30 kkoo tatizo umekulia shamba so hujui chimbo za kkoo unaenda kichwa kichwa tu.View attachment 515783
Ebu punguza ushamba dadaPicha si hoja labda risiti... Hakuna ricecooker kilo 2 kwa elfu thelathini! HAKUNA usidanganye umma
Hata hivyo nina heri mimi taaira kuliko wewe mbeba laana za ukoo wenu(hanithi)
Rubii na Stanley endeleeni na mambo yenu yanachangamsha huu uzi
Nishampotezea Mkuu. Unajua lengo kangu ilikua ni kumsaidia kua hayo makitu yanauzwa bei ndogo tu kkoo. Sasa naona anapanic.Msamehe mkuu
Unatuchanganya mkuu mbona umeandika laki tisa kwenye picha badirisha tafadhari.[HASHTAG]#tisini[/HASHTAG]
Ndiyo wameingia Dar juzi haoNishampotezea Mkuu. Unajua lengo kangu ilikua ni kumsaidia kua hayo makitu yanauzwa bei ndogo tu kkoo. Sasa naona anapanic.
Unajua hawa singo mothers wanaojifanyaga wajasiriamali wanakuga na hasira sana.
Yani wanalazimisha biashara.
Nimemwambia ilo rice cooker nilimunua elfu 30 kkoo bado anabisha kama tulikua naye vile.
Anataka nimuoneshe risiti..
mm sidaigi risiti mana bado sijaona umuhimu wa kulipa kodi.
Anhaaa....Mkuu hapo sasa unaharibuuu, maana sisi wengine huku gongolamboto ndo tumezaliwa huku na tunakulia huku!we mhaya Nshonzi ndo unaamusha mambo ambayo yameishaisha au unakaa gongolamboto nini.