Kilasiku naaply lakini no respond!!!!
Kilasiku naaply lakini no respond!!!!
Ni miaka miwili sasa toka nilipoanza kuomba kazi zinazotangazwa kwenye tovuti ya zoom lakini mpaka hivi leo sijawahi kuona any positive results,naomba ushauri am about kukata tamaa kutembelea tovuti hii
lol kaka hilo jina la mean girl was only kupata registration jamii forums coz jina langu na ninayoyajua yote used humu,ila thanks kwa kunipa moyo,mungu ndo mwenye kupangaPole, labda uko mean sana...lol.\Otherwise endelea kutuma maombi ipo siku utafanikiwa. Unaweza pia jisajili brightermonday.com.
Kila la kheri
ulichosema ni sahihi 100%, inabidi kujua namna ya kutumia application, otherwise nimeona application nyingi zikipitia ZOOM kwenda kwa email ya advertiser (employer) ikiwa haina CV wala application letter. So it is very critical kuzingatia mchangiaji wa hapo juu.Pole kijana,Ushauri wangu: Ukiona post kwao chukua details za wenye tangazo kisha tafuta means ya kutuma application yako,usitumie ile click to email yao,wengi wanalalamika juzi juzi kuna ndugu alipost namna alivyoikuta Cv ya mtu huko zoom ili kutumwa kwa hao waajiri ilikua mbaya uthibitisho wa hili tafuta post ya mtu humu ndani isemayo "Zoom mjirekebishe"...
But dont blame them(Zoom) maana wanasaidia si umesikia wengine wamewahi kuitwa pitia iyoiyo zoom,,Ombi:Zoom na nyie boresheni kidogo huduma yenu maana hayo malalamiko ni ya kweli kabisa.Thanks
God bless You all.
Wakuu sina imani kabisa na zoom nimetuma apllication zaidi ya 20 since march mpaka sasa sijapata any responce na kazi nyingi nilizo-apply nimevuka viwango.....@ i do support!!!
Ni miaka miwili sasa toka nilipoanza kuomba kazi zinazotangazwa kwenye tovuti ya zoom lakini mpaka hivi leo sijawahi kuona any positive results,naomba ushauri am about kukata tamaa kutembelea tovuti hii