Jaribu kusoma kidogo na mambo ya uhasibu hata Certificate tu,
mara nyingi siku hizi madereva wanaochukuliwa kwenye makampubni ni wale angalau wanaweza kuandika hata invoice, sio kama zamani unakuta gari lina driver na mtu pembeni wa kufanya hayo mambo ya uhasibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.