[/QUOTE]1.3 AFISA UGAVI DARAJA LA II (SUPPLIES GRADE II) NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa ajili ya Wizara ya Mambo ya Ndani
1.3.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kukusanya takwimu za kusaidia kutayarishwa makisio ya vifaa vinavyohitajika (Material Requirement Budget) na Mpango wa Ununuzi (Procurement Plan).
 Kukusanya na kutunza takwimu za utendaji za Wazabuni mbalimbali.
 Kukusanya na kutunza takwimu za upokeaji, utunzaji, na usambazaji wa vifaa.
 Kusimamia utunzaji wa maghala na hati/kumbukumbu ya vifaa vilivyomo ghalani.
 Kusimamia upokeaji, utunzaji na usambazaji wa vifaa (Physical Distribution).
 Mfumo wa uwekaji na utunzaji wa vifaa ghalani (Location Index Design).
 Kusimamia ukaguzi wa kuhesabu vifaa mara kwa mara (Perpetual Stock Checking) ghalani.
3
 Kutayarisha Taarifa za kazi katika vipindi maalumu.
 Kuhesabu na kutoa taarifa ya thamani ya vifaa vilivyomo ghalani kila mwisho wa mwaka (Annual Stock Taking).
 Kufanya kazi zingine ambazo atapangiwa.
1.3.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya Biashara (B.Comm) yenye mchepuo wa ugavi au Stashahada ya Juu ya Ugavi (Advanced Diploma in Materials Management) inayotolewa na Chuo kinachotambuliwa na Bodi ya Taifa ya usimamizi wa Vifaa.
1.3.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.[/QUOTE]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.