Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,539
Mi nilishaomba raundi ya kwanzaMkuu kwa hiyo haina haja ya kwenda kumtafuta alipo huyo katibu tawala, ila unatafuta address yake tu ili uandike KUPITIA KWA, au ni lazima ukaonane nae face to face?
Barua unapeleka Posta ila anuani inakuwa "kupitia kwa "
Angalia mfano
Tume ya UM
SLP xxxx
DSM
K.k
Katibu Tawala
SLP xxx
Dsm
Haumtafuti huyo katibu tawala direct
Nadhani umeelewa ndugu