Natafuta sales person wa kunitafutia wateja wa TRA EFDs machines. Sisi ni Suppliers wa BOLSTO SOLUTIONS LTD, MOSHI na pia tunatoa huduma arusha. Commission ni 20,000 kwa kila mashine. Tukumbuke kuanzia tarehe 1/9/2013 ni lazima kila mfanya biashara anayeuza zaidi ya 40,000 kwa siku au million 14 kwa mwana awe na efd mashine za kutolea risiti za TRA. kwa hiyo soko ni la uhakika. Mimi pia ni approved EFD Technician by TRA, kwa bolsto Moshi, ni mimi peke yangu.
Kwa wanaotaka mashine, zipo bei ni 800,000/= (bei standard ya TRA ambayo utakuja kurudishiwa) pia wateja wetu wanaweza pata mkopo toka equity bank wa kununulia mashine, harakisha kabla foleni hazijaanza mwezi ujao.
Pia kwa wamikoani, tunaweza wasiliana nikawaelekeza nani wa kumuona kwenye branch zetu huko upate commissions au service za haraka.
0758-717754 Chacha
Kwa wanaotaka mashine, zipo bei ni 800,000/= (bei standard ya TRA ambayo utakuja kurudishiwa) pia wateja wetu wanaweza pata mkopo toka equity bank wa kununulia mashine, harakisha kabla foleni hazijaanza mwezi ujao.
Pia kwa wamikoani, tunaweza wasiliana nikawaelekeza nani wa kumuona kwenye branch zetu huko upate commissions au service za haraka.
0758-717754 Chacha