sambestman
Member
- Jan 2, 2012
- 38
- 18
Jamani niliapply nafasi za corporate secretary tume ya ajira tangu mwezi wa tatu naona kimya.....pia niliaply kazi za bandary pia walikuwa wanataka wanasheria lakini naona kimya....any update kwa mtu aliyeaply eeither of the one anibrief please