Ndo wapo kwenye Mchakato bila shaka Mkuu.saw a lakini kama ingefaa naona wangekuwa wanafanya saili za kanda,fikiri mtu atoke Kigoma aje Dar kwa nauli teletele kisha arudi tupu doh
itapendeza sanaNdo wapo kwenye Mchakato bila shaka Mkuu.
mshahara wa mlinz had pm duuhMshahara ni siri, nenda TPA HQ watakujibu au njoo pm nikujibu
Omba TSN wametangaza kazi ya Level yako Boss.wakuu nataka kuomba nafasi ya OFFICE ATTENDANT nina diploma ya business administration , je wanaweza kuni-consider kwel? hata kama sina hcho cheti kutoka veta cha cleaner? maana kukaa kaa tu bila kazi siyo asee!.
msaada kwa anaejua
Ukijibiwa nami nitag nijueSalary Grade: TPGS 1A huu mshahara bei gn wakuu?
mshahara wa mlinz had pm duuh
mshahara wa mlinz had pm duuh
Mi wananivuruga wakitaja hizo scale zao za mishahara!
Sielewi hata kidogo. TPGS 2 ndio shilingi ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa banadari wamenikaa, wao wanataka mtu mwenye certificate ila mimi nina bachelor nikajua watakubali ombi langu unfortunately online system imekataa. View attachment 1068849
Jaribu kuedit profile yako ufute uishie kweny certificate usifike degree
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kuedit profile yako ufute uishie kweny certificate usifike degree
Sent using Jamii Forums mobile app
Je umesoma kigezo chake cha ELIMU ni kipi?MOORING HANDS – 29 POSTS samahani wakuu kwa nafasi hii au office attendant nikiwa na diploma ya records management naweza apply hizi nafasi maana kuliko kusubiri post za records nataka kujaribu hizi itawezekana kweli nikaitwa kwenye usaili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu mkuu kuomba usikate tamaa,Huwezi jua riziki yako iko wapiMOORING HANDS – 29 POSTS samahani wakuu kwa nafasi hii au office attendant nikiwa na diploma ya records management naweza apply hizi nafasi maana kuliko kusubiri post za records nataka kujaribu hizi itawezekana kweli nikaitwa kwenye usaili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kiongoziJe umesoma kigezo chake cha ELIMU ni kipi?
Wanataka hii kitu
.https://www.flyingfishonline.com/superyachts/course/stcw-basic-safety-training-course/#overview
Jaribu mkuu kuomba usikate tamaa,Huwezi jua riziki yako iko wapi