NAFASI YA MASOMOKIDATO CHA KWANZA 2010
Tumeanza kuandikisha wanafunzi wanaotarajia kuingia kidato cha kwanza kwa mwaka 2010. Walengwa ni wahitimu wa darasa la saba.
Interview itafanyika tarehe 10 Oktoba, 2009 saa 3.00 asubuhi katika Ukumbi wa Ilemi High School.
Fomu za kujiandikisha zinapatikana:
1. Kwenye mtandao wa internet: www.ilemighschool.com
2. Ilemi High Schoolofisi ya Makamu Mkuu wa Shule
3. Jengo la Naomi Mwamasika Enterpriseseneo la Mama John, Ilomba
4. Ukombozi Education Centrekaribu na shule ya Mkapa, Mwanjelwa
Gharama ya Fomu ni shilingi 10 000/- tu.
Sifa za Shule:
1. Karo nafuu sana
2. Mazingira tulivu yenye kumcha Mungu
3. Somo la Computer bure, internet access bure
4. Inafadhiliwa na Shirika la Uholanzi pia ina Shule dada ya Uholanzi
5. Walimu waliobebea na wanaojituma
6. Ina kituo cha Mitihani ya kidato cha II, IV, na VI.
KARIBU ILEMI KWA MAENDELEO YAKO
MKUU WA SHULE
S.L.P 2433 MBEYA
Simu: 0787 404061/ 0785 628245