Nafasi mpya za kazi tanzania international universty

kuwahi kujiunga jamiiforums hakumaanishi kuwa na uwezo wako wa kufikiri utakuwa mkubwa, kuna vilaza wengi tu waliowahi kuijunga jf lakini wanatoa hoja dhaifu kama wewe. Hakuna uhusiano wowote kati uwezo wa mtu kufikiri na kuwahi kujiunga jf

By just looking at your profile,i need not argue with you!!!kajipange then urudi kwenye mada husika..makanjanja wa vyuo nyie mnaotaka kudanganya wenzenu..mnawaza kushibisha matumbo yenu kwa kukamua ada za wenzenu kwa vyuo vya uchochoron
 
ww mama hebu jiheshimu kwanza

Pole kwa kukasirika.inaonyesha jinsi gani feelings zako zilivyo weak.ni kawaida kwa mabinti kama nyinyi.Najiheshimu ndio maana nikaruhusiwa kujiunga na JF.na nafasi yangu naitambua ndio maana nakusaidia kuondoa panic na kudandia gari kwa mbl."hata hicho chuo kilichotangazwa ITV hukikumbuki"inaonekana jinsi gani ulivyo msahaulifu wa kumbukumbu. tangazo ni la kazi au umesahau?kabla hujaponda kitu fanya uchunguzi.stop being so negative!
 
Are you trying to market the so called Chuo ambacho hakitambuliwi na TCu??acha utapeli ww//hata KIU ilitangazwa sana kabla ya kusotea kutambuliwa na TCU na wengi walipoteza muda na pesa kusomesha watoto wao..peleken utapeli wenu huko.......

pole we binti.aliyekwambia KIU haitambuliwi na TCU ni nani? matatizo yaliyotokea ni ya kawaida na ni ya kurekebishwa tu.hakuna chuo perfect. acha kupanic? binti mdogo unajizeesha na hearsay evidence.acha watu wa-apply kazi.
 
ww mama hebu jiheshimu kwanza na utambue nafasi yako kama mama/mzazi ambae utalipa ada halafu baadae TCU inakuja kusema Chuo hakitambuliki!!!usione sisi machizi tunaotoa angalizo..kwanza nna wasiwas kama elimu yako hata form four imefika kwa sababu huwezi kutambua hata kiduchu tuuu??haihitaji kuwa na degree kutambua kwamba hapa kuna mapungufu meennnnnnnnnngiii tu..nakupa mfano wa last wk ITv imerusha tangazo la chuo kimoja-sikikumbuki kwamba kinatoa degree ,masterz etc..in the following day TCU wakaweka tangazo wakitahadharisha hiko chuo hakitambuliki..the third day ITV wakarusha tangazo na wahusika wa chuo wakisema hawajakamilisha process za TCu..my point is..walianzaje kujinadi ilhal bado hawajasajiliwa??si ndo utapeli huo??ciome on ww mama hebu onyesha kwamba huitwi mama kwa bahati mbaya??umenikera ww mama,na hali ilivyo ngumu hivi unataka kuwaingiza mkenge wenzio walipe ada kwa utapeli wenu??ebo

Mimi nina swali moja. je TCU wanasajili chuo kabla hakijaanza au baada ya kuanza?
 
Are you trying to market the so called Chuo ambacho hakitambuliwi na TCu??acha utapeli ww//hata KIU ilitangazwa sana kabla ya kusotea kutambuliwa na TCU na wengi walipoteza muda na pesa kusomesha watoto wao..peleken utapeli wenu huko..so what ITV wakitangaza???do u think wana duty ya kujua kwamba hiki chuo ni magumashi or not??ndo mana TCU wakiona tu hayo magumashi wanatoa taarifa gazetini kuwa hakitambuliwi..ITV wao ni biashara hawawez kataaa na hawana burden ya kuthibithisha kama halali or not..hata ww ukipeleka tangazo lako la ndoa(ilhal una mke)watakutangazia tu...au mkuu upeo wako wa kufikir umeishia hapo??shame on you kutaka kuwaingiza hasara watanzania wenzenu..jamani hivi vyuo vya uchocgoron kamwe msivikubali kabisaaaaaa..kwanza cho gani kitakuwa Kimara Bonyokwa??ebooooooooooo

Nilikuwa nakusoma ili nione utaishia wapi, nimegundua wewe ni mtu wa kukurupuka halafu mpuuzi usiye na uelewa unajifanya much know kumbe ovyooo! unaposema chuo gani, kijengwe bonyokwa unamaanisha kuna sera inayokataza vyuo visijengwe bonyokwa au unaropoka tu! kama hujui vigezo just shut ur big mouth na hata hivyo kwa taarifa yako chuo hakipo bonyokwa bali along bonyokwa road ila kwa papara zako unadhani ukiambiwa ofisi fulani ipo morogoro road wewe kwa kiherehere chako utapanda basi uende morogoro!! shame on you!!
 
Hilo tangazo nililiona jana. Jana hiyohiyo nika-send application online, nika-attach each and everything needed for the post advertised ( post x).
Then nikafungua "http://www.tiutz.com/index.php?option=com_contact&view=contact&id=2&Itemid=59", nikaenda kwenye contact, moja kwa moja nika-take namba za simu 0655 700777 na 0767 011344 nikazi-check mmiliki wa hizo simu kwenye "tigo na m.pesa", zimesajiliwa kwa jina la Dr.Samuel Mnzava.
Nakapiga line ya voda, jamaa akapokea, akajitambulisha kwa jina hilohilo, akaniuliza shida yangu, nikamueleza kwamba mimi nilisend my application for a job online so nilitaka ku-confirm delivering of my application.

Kilichoniacha hoi sasa...! jamaa akaniuliza kwamba eti " Je, umeshalipia Interview fees"?, nikaendelea kujieleza, mimi sikuomba nafasi ya kusoma bali mimi nimeomba nafasi ya kazi, jamaa akakomaa, akasema " Yes, umeomba nafasi ya kazi but itakubd ulipie bank fees for interview, akaniambia kwamba angenitumia sms account number bank CRDB ili nikalipie hiyo fees, jamaa akakata simu.

NILITAKA KUMUHOJI ZAIDI ILI NIMUINGIZE KWENYE TIMING BUT JAMAA NADHANI AKAJISTUKIA.
MATAPELI WAPO WENGI JAMANI TUWENI MAKINI, FUNGUA HIYO WEB UONE JINSI MATAPELI NAO WANAVYOJUA KUJIANDAA,,,,,,,,,,,,,,,!
 
KInatambuliwa na TCU???tunaomba website yake isije ikawa yaleyale mkatumia CV zetu na vyeti isivyotakiwa..na uzoefu wangu wa vyuo hapa Bongo cjawah kukisikia kabisaaaaaaaaaa,hata datastarna Zoom polytechnic kina afadhali..Halafu Vice Chancellor atatmiaje email ya yahoo???hamna email ya chuo??waacha upuuzi ww

Jamani muhusika wa hiki chuo ni huyu hapa 0655 700777 au 0767 011344 anaitwa Dr Mnzava. mpigieni simu atawapatia maelekezo kamili.
 
TANGAZO LA KAZI CHUO KIKUU KIPYA CHA KIMATAIFA CHA TANZANIA (TANZANIA INTERNATIONAL UNIVERSITY) VACANCIES 1. SENIOR LECTURES (16) – Professor, Associate Professor or PhD holders. 2. LECTURES ( 30 ) – PhD or experienced Masters Degree holders (GPA 4.0 and Above) 3. ASSISTANT LECTURERS ( 36 ) – Masters Degree or Experienced bachelor with GPA 3.7 and above 4. TUTORIAL ASSISTANT (20 ) – Bachelor Degree Holder with GPA 3.5 and Above DEPARTMENTS 1. SOCIAL SCIENCES DEPARTMENT 2. BUSSNESS ADMINISTRATION 3. EDUCATION 4. DEPARTMENT OF LAW 5. COMPUTER STUDIES HUMAN RESOURCE DEPARTMENT -ADMINISTRATION SUPPORTING STAFFS 1. ADMISSION OFFICERS ( 2 ) 2. HUMAN RESOURCE MANAGER ( 2 ) 3. ACCOUNTANTS ( 2 ) 4. PROCUREMENT OFFICERS ( 2 ) 5. LIBRARIAN ( 2 ) 6. ASSISTANT LIBRARIAN ( 2 ) 7. REGISTRY ( 1 ) 8. DEAN OF STUDENTS ( 1 ) 9. ASSISTANT DEAN ( 1 ) 10 DRIVERS ( 2 ) 11 OFFICE ATTENDANT ( 2 ) If you're interested and meet the mentioned qualification for the mentioned post, forward your CV, Cover letter and academic certificates at jobs.tiutz@yahoo.com also you must send the same copy to Vice Chancellor at smnzava@yahoo.com not later than 02[SUP]nd[/SUP] March 2013 OR Post directly to the address below but also your allowed bring your application physically, Women are encouraged to apply. TANZANIA INTERNATIONAL UNIVERSITY KIMARA MWISHO – ALONG BONYOKWA ROAD P.O.BO.X 9858 DAR ES SALAAM – TANZANIA

Hilo tangazo nililiona jana. Jana hiyohiyo nika-send application online, nika-attach each and everything needed for the post advertised ( post x).
Then nikafungua "http://www.tiutz.com/index.php?option=com_contact&view=contact&id=2&Itemid=59", nikaenda kwenye contact, moja kwa moja nika-take namba za simu 0655 700777 na 0767 011344 nikazi-check mmiliki wa hizo simu kwenye "tigo na m.pesa", zimesajiliwa kwa jina la Dr.Samuel Mnzava.
Nakapiga line ya voda, jamaa akapokea, akajitambulisha kwa jina hilohilo, akaniuliza shida yangu, nikamueleza kwamba mimi nilisend my application for a job online so nilitaka ku-confirm delivering of my application.

Kilichoniacha hoi sasa...! jamaa akaniuliza kwamba eti " Je, umeshalipia Interview fees"?, nikaendelea kujieleza, mimi sikuomba nafasi ya kusoma bali mimi nimeomba nafasi ya kazi, jamaa akakomaa, akasema " Yes, umeomba nafasi ya kazi but itakubd ulipie bank fees for interview, akaniambia kwamba angenitumia sms account number bank CRDB ili nikalipie hiyo fees, jamaa akakata simu.

NILITAKA KUMUHOJI ZAIDI ILI NIMUINGIZE KWENYE TIMING BUT JAMAA NADHANI AKAJISTUKIA.
MATAPELI WAPO WENGI JAMANI TUWENI MAKINI, FUNGUA HIYO WEB UONE JINSI MATAPELI NAO WANAVYOJUA KUJIANDAA,,,,,,,,,,,,,,,!
 
nyie watu ni waajabu sana mnapewa fursa mnaanzisha mijadala isiyo na tija! kama sifa unazo siuapply tu! kwani kuna gharama gani?
 
...........Chuo Kinaitwa Tanzania International University?.........Mmmh....Lets Wait and See....
 
Hebu wanau mnaojua tusaidieni hiki chuo kina status gani hapa Tanzania? Toeni profile ya chuo hicho angalau kwa ufupi angalau tuone kina hadhi gani na kama kinatambulika? Vinginevyo huwezi kutarajia profesa au lecturer mzima aombe kazi au atume maombi kwenye ghost institution kama hii. Fanyeni mambo kama wasomi bwana.
 
matapeli hao,wanachofanya ni kukutaka ulipe interview fee,sasa fikiria kama interview fee ni 5000 na watao omba ni 1000 watakuwa wamekusanya takriban kama 5ml...kuweni makin
 
Hilo tangazo nililiona jana. Jana hiyohiyo nika-send application online, nika-attach each and everything needed for the post advertised ( post x).
Then nikafungua "http://www.tiutz.com/index.php?option=com_contact&view=contact&id=2&Itemid=59", nikaenda kwenye contact, moja kwa moja nika-take namba za simu 0655 700777 na 0767 011344 nikazi-check mmiliki wa hizo simu kwenye "tigo na m.pesa", zimesajiliwa kwa jina la Dr.Samuel Mnzava.
Nakapiga line ya voda, jamaa akapokea, akajitambulisha kwa jina hilohilo, akaniuliza shida yangu, nikamueleza kwamba mimi nilisend my application for a job online so nilitaka ku-confirm delivering of my application.

Kilichoniacha hoi sasa...! jamaa akaniuliza kwamba eti " Je, umeshalipia Interview fees"?, nikaendelea kujieleza, mimi sikuomba nafasi ya kusoma bali mimi nimeomba nafasi ya kazi, jamaa akakomaa, akasema " Yes, umeomba nafasi ya kazi but itakubd ulipie bank fees for interview, akaniambia kwamba angenitumia sms account number bank CRDB ili nikalipie hiyo fees, jamaa akakata simu.

NILITAKA KUMUHOJI ZAIDI ILI NIMUINGIZE KWENYE TIMING BUT JAMAA NADHANI AKAJISTUKIA.
MATAPELI WAPO WENGI JAMANI TUWENI MAKINI, FUNGUA HIYO WEB UONE JINSI MATAPELI NAO WANAVYOJUA KUJIANDAA,,,,,,,,,,,,,,,!
Asante sana diazi umemaliza kila kitu hapo. MATAPELI WAPO WENGI YAANI MSOMI ANATOA TANGAZO KIENYEJI NAMNA HII, hilo ni tapeli na Kipare Dr. Samuel Mnzava duuuuuuuuuu. Sisi wengine watoto wa mjini matapeli hawatuwezi kirahisi namna hii. Mimi hata application siwezi kupeleka kwenye taasisi ya hovyo kama hii. Afadhali niendelee kufanya kazi kwenye SU tu.
 
Jaman mbona its simple kuuujua ukweli wa hao watu,kwa wewe ulieaply na unakaa dsm kwani kimara mbali??go physically mpk chuoni am sure kwa chuo ambacho kishaanza kujitangaza mpk dak.hii lazima baadhi ya office zishaanza kuwork so ukiwahoji kinagaubaga lazima utajipatia majibu ya kujiridhisha
 
Duh kwl hatari interview ya kazi inabidi kulipia kwanza labda kama hamkuelewana vizuri mdau.....
 
ww mama hebu jiheshimu kwanza

Pole kwa kukasirika.inaonyesha jinsi gani feelings zako zilivyo weak.ni kawaida kwa mabinti kama nyinyi.Najiheshimu ndio maana nikaruhusiwa kujiunga na JF.na nafasi yangu naitambua ndio maana nakusaidia kuondoa panic na kudandia gari kwa mbl."hata hicho chuo kilichotangazwa ITV hukikumbuki"inaonekana jinsi gani ulivyo msahaulifu wa kumbukumbu. tangazo ni la kazi au umesahau?kabla hujaponda kitu fanya uchunguzi.stop being so negative!

Haya mama esnath leo mboona umekimbia???jibu hoja lkwamba mnatak hela za ushaili thru CRDb???shame on you the so called" mama".... u do not deserve kuitwa mama,sorry
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom