Nafasi 2000 za kazi, Viettel Tanzania

mattnard

Senior Member
Oct 14, 2012
106
32
Ndugu juzi nilisikia gazeti la Daily News na Habari Leo, walitangaza nafasi 2000 za Viettel, mwenye tangazo atupie basi hilo la nafasi 2000.hawa jamaa wapo serious naona uhuru ilitoa habari zao juu ya mzungumzo yao na kikwete please rushieni tangazo wakuu tuingie mzigonijamani
 
Mi pia nahisi wapo serious, nimeona hadi office Zao.sema sijajua ile form ya application tunajaza inline au la.kwa anayejua basi tueleweshane.
 
Ndugu juzi nilisikia gazeti la Daily News na Habari Leo, walitangaza nafasi 2000 za Viettel, mwenye tangazo atupie basi hilo la nafasi 2000.hawa jamaa wapo serious naona uhuru ilitoa habari zao juu ya mzungumzo yao na kikwete please rushieni tangazo wakuu tuingie mzigonijamani

Ichek hyoo
 

Attachments

  • 1415791756337.jpg
    1415791756337.jpg
    117 KB · Views: 8,520
Mi pia nahisi wapo serious, nimeona hadi office Zao.sema sijajua ile form ya application tunajaza inline au la.kwa anayejua basi tueleweshane.

Wamesema unawatumia email kuomba form...wao wanakutumia unajaza then unawatumia tena
 
Bado maswali ni mengi kuliko majibu, mbona hizo website zote mbili hazihusiani na Vietell?
Itakuaje kampuni international yenye branch nchi 9 itumie email za Gmail? Kampuni gani inaajiri mtu yoyote tu bila kutarget mahitaji yao?
 
Bado maswali ni mengi kuliko majibu, mbona hizo website zote mbili hazihusiani na Vietell?
Itakuaje kampuni international yenye branch nchi 9 itumie email za Gmail? Kampuni gani inaajiri mtu yoyote tu bila kutarget mahitaji yao?

haya maswali unayouliza humu yameshaulizwa na wengi, na majibu yameshatolewa sana, ukitaka tafuta post za mwanzo zihusuzo viettel utakutana nayo.
 
Bado maswali ni mengi kuliko majibu, mbona hizo website zote mbili hazihusiani na Vietell?
Itakuaje kampuni international yenye branch nchi 9 itumie email za Gmail? Kampuni gani inaajiri mtu yoyote tu bila kutarget mahitaji yao?

Mkuu kwani wanadai hela yoyote? Bando tu unatumia kwan kuna hasara yoyote?
 
hizo application form wanakutumia baada ya muda gani.maana nimetuma kitambo ila sijaona hyo form
 
I do not think if this company is serious,hapa nimepigiwa simu na ndugu zangu kutoka kijijini kuna engineer wa Viatel mara ya kwanza alienda na mtanzania leo ameenda peke yake kijijini anataka eneo la kuweka site.Hajui Kiswahili,kingereza nacho ni introduction to.Namwuliza kama ana e-mail address hatuelewani?Sasa kweli unaweza enda vijijini wewe foreigner peke yako na pikipiki unatafuta maeneo ya kuweka site?
Wewe uliyeko Viatel wambie waache ubahiri,waajiri wazawa,wafanye hizo kazi za kwenda kutafuta maeneo.
Nimemtumia e-mail zangu kwa kutumia simu ya wenyeji sijui kama amenielewa jibu lake "Sorry.i don't time"
Mwisho wa kumnukuu,kwa hiyo sentensi yake hapo juu ataelewanana watu wa vijijini kama english yake ni hiyo?Na unaweza kuta yeye ndiye wanamtegemea anajua English.
"If family don't for rent."
"To me for a different location"
Huyu ni mbishi hapa sijui anamanisha kama familia haitaki kupangisha eneo hilo,atafute jingine.Je atalipataje wakati there is communication barrier.
Sasa ngoja nitumie google translator nimuandikie Kivietinam
 
Ndugu zangu hii kampuni ni kweli ipo ila naona hawakujipanga vizuri ni jinsi gani wataanza operation zao hapa Tanzania.Ila naona kama wabahili hivi sasa sijui mishahara itakuwaje nashauri kwa mnaomba kazi huku mpati stori za waliofanya kazi Huawei(wawi) inawezekana wasitofautiane sana.Wewe Mvietinam anaenda vijijini kufanya mikataba ya kuweka site hana hata mtanzania anaenda mwenyewe hii kwangu haijakaa vizuri tena amechukua bodaboda na bodaboda amesema alimchukua akiwa peke yake(hakuwa ameongozana na wazawa).Ok inawezekana akatumia technology kuyajua maeneo ila "lugha" itakuwaje mawasiliano na wenyeji.
I am out.
 
Ndugu zangu hii kampuni ni kweli ipo ila naona hawakujipanga vizuri ni jinsi gani wataanza operation zao hapa tanzania.Ila naona kama wabahili hivi sasa sijui mishahara itakuwa nashauri kwa mnaomba kazi huku mpati stori za waliofanya kazi Huawei(wawi) inawezekana wasitofautiane sana.Wewe Mvietinam anaenda vijijini kufanya mikataba ya kuweka site hana hata mtanzania anaenda mwenyewe hii kwangu haijakaa vizuri tena amechukua bodaboda na bodaboda amesema alimchukua akiwa peke yake(hakuwa ameongozana na wazawa).Ok inawezekana akatumia technology kuyajua maeneo ila "lugha" itakuwaje mawasiliano na wenyeji.
I am out.

Tunashukuru mdau kwa mawazo yako...
 
Back
Top Bottom