Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 23,017
- 20,507
......
......profeshanalisimu
......profeshanalisimu
Wanasahau pia Spika anatokana na CCM. Madaraka yake yanatokana na maamuzi ya vikao vya CCM. Wanasahau pia Spika ni Mjumbe wa Kamati Kuu, NEC ya CCM.Hivi jamani, mnasahau bunge ni la CCM? mna sahau rais ni nani CCM?? mnasahau CCM hawa hawa ndio huwa wanasema ..'ndiooo'
Hivi ni kitu gani unaona kinaweza kikabadilisha hili swala?? kuwa wabunge wawe kinyume na rais ambaye ni mwenyekiti wao??
Makonda haanguki na hakuna baya litakalompata!
Hypothesis zako ni UTOPIA
Wanasahau pia Spika anatokana na CCM. Madaraka yake yanatokana na maamuzi ya vikao vya CCM. Wanasahau pia Spika ni Mjumbe wa Kamati Kuu, NEC ya CCM.
Zaidi ya yote, Mwenyekiti wa Vikao hivyo ni Rais huyo huyo mnayempiga mkwara.
Jambo mnalosahau Raisi ni Mkuu wa Serikali, Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama.
Wengine kula yao na Ulinzi wao unafanya na vyombo ambavyo vinawajibika kwake.
"Wauza Ngada wana tapa tapa"
Tuko na Makonda mpaka dakika za mwisho, wapende wasipende
sumu inaua watu wanataka ustaarabu
hii ni vita
Mkuu Waberoya, nakuaminia katika kumkoma nyani giledi. Lakini kwenye hili unataka kuniangusha. Naomba Mungu uje na akili za asubuhi. Kweli kabisa umefahamu jambazi wa mali za watu, kabda hujakamata vidhibiti unamtangazia aje kituo cha polisi baada ya siku mbili halafu utegemee akifika ndo ukamkague ili upate hivyo vidhibiti na kumfungulia kesi? Hiyo yawezekana tu kama April foold day mwaka huu inasherekewa Februari! Tuachane na nadharia, tuongelee uhalisia. Vidhibiti cha Gwajima, Azzan na Manji vimepatikana? Kuna dalili zozote za wao kuhusiaka na hivyo watafunguliwa kesi na kufikishwa mahakamani?
Mimi siko na Makonda bali niko na wote walioko kwenye kampeni yenye nia ya dhati na utashi wa kisiasa kutokomeza biashara na matumizi ya madawa ya kulevya.
Omutwale, bado unakosea
what if kama namnatangazia naweka makachero watakaochunguza anapeleka mizigo wapi na nyendo zake zote?
what if kama simu zao na sms zao zote zinakuwa tracked
naishajua tayari mtandao wake, usisikie hawa wengine wasiofikiria upande huu wapili! wengi zaidi watakamatwa mkuu, I bet
nani mjanja hapo!
FyfuaWajumbe wa Kamati ya Haki na madaraka ya bunge ni akina Nani ??