trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Jamani napenda ku-declare interest kuwa mimi ni mtumishi wa umma katika Idara ya Afya..
Lakini,tuseme ukweli... Katika idara ambazo inasemwa ni kazi za wito,yetu na ya Waalimu,tunanyanyasika sana.. Kidogo,tutaambiwa hatuna ubinadamu,na mengine mengi..
Sasa angalieni wenzetu... Wana incentives nyingi..kiukweli sijui zote ila ni nyingi sana!
Mara,mabati baada ya miaka mitano,mara sementi,mara sijui ni marupurupu gani.. Yaani hadi basi..
Sitegemei kupondwa kwa ajili ya idara yangu,ila tafadhalini waungwana,tuongee yote na tuje kukubaliana umuhimu wa kazi za idara zetu ume-base wapi na tunapimaje umuhimu huo..
Ahasanteni.
Lakini,tuseme ukweli... Katika idara ambazo inasemwa ni kazi za wito,yetu na ya Waalimu,tunanyanyasika sana.. Kidogo,tutaambiwa hatuna ubinadamu,na mengine mengi..
Sasa angalieni wenzetu... Wana incentives nyingi..kiukweli sijui zote ila ni nyingi sana!
Mara,mabati baada ya miaka mitano,mara sementi,mara sijui ni marupurupu gani.. Yaani hadi basi..
Sitegemei kupondwa kwa ajili ya idara yangu,ila tafadhalini waungwana,tuongee yote na tuje kukubaliana umuhimu wa kazi za idara zetu ume-base wapi na tunapimaje umuhimu huo..
Ahasanteni.