Salaam, Shalom!!
Kumekucha 2024,
Anayejulikana Kwa Jina la Nabii Rolinga, amesema kuwa chanzo Cha Nchi ya Kenya kumwaga Damu Kila Uchaguzi ni sababu ya Mzimu wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya kwanza Jommo Kenyata.
Amedai kuwa Hadi sasa anayetawala Nchi hiyo katika Ulimwengu wa Roho ni Mizimu ya Rais huyo aliyepita ambaye hakuwahi kupata maziko ya kufukia mwili ardhini.
Amedai kuwa, mwili huo ambao ulikaushwa na kutunzwa, ndio chanzo Cha matatizo. Ameshauri watumishi washirikiane na familia ya marehemu Ili kuuzika mwili huo kwani maiti ni muhimu kuzikwa Kwa Utaratibu wa kawaida.
Karibu Kwa maoni!!🙏
Source: Haleluya Tv.
Kumekucha 2024,
Anayejulikana Kwa Jina la Nabii Rolinga, amesema kuwa chanzo Cha Nchi ya Kenya kumwaga Damu Kila Uchaguzi ni sababu ya Mzimu wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya kwanza Jommo Kenyata.
Amedai kuwa Hadi sasa anayetawala Nchi hiyo katika Ulimwengu wa Roho ni Mizimu ya Rais huyo aliyepita ambaye hakuwahi kupata maziko ya kufukia mwili ardhini.
Amedai kuwa, mwili huo ambao ulikaushwa na kutunzwa, ndio chanzo Cha matatizo. Ameshauri watumishi washirikiane na familia ya marehemu Ili kuuzika mwili huo kwani maiti ni muhimu kuzikwa Kwa Utaratibu wa kawaida.
Karibu Kwa maoni!!🙏
Source: Haleluya Tv.