Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,971
- 22,163
NABII
Kwako Nabii, jana niliitwa ubungo nikahisi ni kikao cha amani
Kufika nikakuta rafiki yangu kafyumu hatari. Kuuliza nini shida akanisikitisha sana. Hapo nyuma aliwahi kuniambia mkewe anasumbuliwa sana na msg anaitwa aende kuombewa nabii saa 12 kisa kamuota kuna wanawake wawili wanamloga. Nikachukulia kawaida.
Sasa jana mzee akaashika pochi ya mkewe achukue kitu akakuta passport size ya huyu nabii wa Buza
Ushauri Mh nabii vizuri kubadilika gawa maji mchanga chumvi uji ila kugawa picha yako kwa mke watu uachee kabisaa
Hujui madhara ya kuvunja ndoa za watu...huyu mdada ana watoto wanne.. Leo wanaachana utatunza wewee??
watoto wanaingia mtaani wanajiuza wakifa unajua hasara yake
ushauri tu endeleen kuuza maji mchanga mafuta nk haya ya kugawa pptsize zako hii ni kumtamanisha mke wa mtu.
hakuna upako kwenye ppt size hata mara moja.
Sikunjema
Kwako Nabii, jana niliitwa ubungo nikahisi ni kikao cha amani
Kufika nikakuta rafiki yangu kafyumu hatari. Kuuliza nini shida akanisikitisha sana. Hapo nyuma aliwahi kuniambia mkewe anasumbuliwa sana na msg anaitwa aende kuombewa nabii saa 12 kisa kamuota kuna wanawake wawili wanamloga. Nikachukulia kawaida.
Sasa jana mzee akaashika pochi ya mkewe achukue kitu akakuta passport size ya huyu nabii wa Buza
Ushauri Mh nabii vizuri kubadilika gawa maji mchanga chumvi uji ila kugawa picha yako kwa mke watu uachee kabisaa
Hujui madhara ya kuvunja ndoa za watu...huyu mdada ana watoto wanne.. Leo wanaachana utatunza wewee??
watoto wanaingia mtaani wanajiuza wakifa unajua hasara yake
ushauri tu endeleen kuuza maji mchanga mafuta nk haya ya kugawa pptsize zako hii ni kumtamanisha mke wa mtu.
hakuna upako kwenye ppt size hata mara moja.
Sikunjema