Umasikini ni kama uendawazimu - hasa hasa umasikini wa AKILI!
Pamekua na makanisa mengi ambayo watu wanakimbilia kupata huduma za kiroho na kimwili. Na Nabii Flora ni mmoja wa manabii ambaye amefanikiwa kupata watu wengi
Mbona kanunua rangi?
Upako una "SURA" nyingi - na hiyo ni mojawapo!
Majirani zake wanalalamika anawapigia kelele....nasikia kapigwa pini kuhubiri neno
Upako una "SURA" nyingi - na hiyo ni mojawapo!
Mimi ni Mkatoliki die hard. Huyu nabii alimpagawisha wife wangu na kutaka kulazimisha tuhamie kwake. Niligoma na amani nyumbani ilitoweka!.
Nilipomuona kwenye TV, ni full mkorogo, katinda nyusi full mawanja ya kupitiliza na nywele za marehemu au artificial, nikachoka, nikamsomesha wife hivi kwa naked ayes only jinsi nabii anavyoonekana, unapata picha ya wazi anamtumikia nani!.
Thanks to God, somo limeeleweka wife amerejea Katoliki na amani imerejea!.
Bwana wetu Yesu Kristu, alisema "sio wote wanaita Bwana Bwana ni wangu!, watakuja watu watatoa mapepo kwa jina langu, lakini sio wangu"!.
Wakamuuliza jee tutawatambuaje?.
Yesu akajibu " Mtawatambua kwa matendo yao"!.
Wito kwa wana jf wenzangu, imani zenu zisitetereshwa kwa miujiza ya manabii hawa, fuatilia matendo yao utawatambua!.
Majirani zake wanalalamika anawapigia kelele....nasikia kapigwa pini kuhubiri neno