Fazul
Member
- Apr 2, 2012
- 82
- 9
Kuna bint niliyejuana naye kwa mda sasa,ni binti ambaye anayetumiwa kama mfano mwema katika mtaa wangu,si uzuri wa sura 2,tabia,heshma na myenendo,ni msimple sana.nimemtongoza ivi juzi akanambia labda niwe 2 rafikiye wa karibu kwani nimechelewa ako na mpenzi!kwa kweli nampenda sana na moyo wangu umekataa ukweli wa mambo hata kufikiria kuachana naye pekee huniumisha kichwa,ningefurahia kuwa naye maishani,msinione mbinafsi ni moyo wangu naufwata nisaidieni wana jf nifanyeje ndo ni mpate?